Tv set 4 sale..

Tv set 4 sale..

black chinese

JF-Expert Member
Joined
Aug 1, 2016
Posts
1,148
Reaction score
1,229
Kwa wale wa mabanda ya video show na video game.. nina tv chogo nch. 21 aina ya panasonic pamoja na deki ya singsung hd 1 naviuza kwa bei ya kitonga....110k tu kwa vyote, ukitaka kimoja pia tutahongea.
Viko mkuranga... kwa maelezo zaidi ikiwamo pictures nifate watsap kwa 0687 089980....
Nawasilisha.
 
Mimi nauza T C L 32" used...iko ktk hali nzuri sana...
Nauza 350000
 
Kwa wale wa mabanda ya video show na video game.. nina tv chogo nch. 21 aina ya panasonic pamoja na deki ya singsung hd 1 naviuza kwa bei ya kitonga....110k tu kwa vyote, ukitaka kimoja pia tutahongea.
Viko mkuranga... kwa maelezo zaidi ikiwamo pictures nifate watsap kwa 0687 089980....
Nawasilisha.

Mkuu umenikumbusha miaka ya 2002....kuna jamaa alikuwa anaonyesha mapicha hapo mkuranga mjini anaitwa Ngutu, hivi bado yupo??
 
Kwa wale wa mabanda ya video show na video game.. nina tv chogo nch. 21 aina ya panasonic pamoja na deki ya singsung hd 1 naviuza kwa bei ya kitonga....110k tu kwa vyote, ukitaka kimoja pia tutahongea.
Viko mkuranga... kwa maelezo zaidi ikiwamo pictures nifate watsap kwa 0687 089980....
Nawasilisha.
Niko na 70 mkuu
 
1479658087394.png
 
  • Thanks
Reactions: Lee

Similar Discussions

Back
Top Bottom