Hazchem plate
JF-Expert Member
- Feb 25, 2011
- 11,059
- 15,532
[emoji16][emoji16] eti mbeya vijijini
Ametudharau sana huyu kenge
[emoji16][emoji16] eti mbeya vijijini
[emoji4] mbona nimelitumia vyema tu boss, hiyo hesabu ipitie vyemaDuh!
Iki chuma kinatafuna umeme balàa [emoji117]435watt
Yaani ukiliwasha,
Kila baada ya mawili Unapaswa kuingiza umeme wa BUKU.
INSHORT,
Ukiliwasha siku nzima yenye masaa 24, Litatafuna umeme wa 12,000
Ambapo UKIMILIKI iyo TV,
Unapaswa kuligharamia 360,000 kila mwisho mwezi kuenjoy burudani.
All the best mkuu[emoji16]