Tatizo ni kwamba , brand fulani inaweza kuwa ni nzuri katika series fulani, watu waki ikimbilia, ufisadi una anza. Watu wanakwenda kuchakachua kwa umbo na application za vile vile kumbe ni boya la kubumba. Watu wakinunua na likianza kusumbua wanasusia brand nzima!
Kwa sasa ukitaka kununua kitu cha uhakika nenda kwenye maduka ya ma-argent wa hiyo brand, kwingine utaingizwa mkenge.
Kwa mtazamo wangu Sumsung ni kiboko wanaongoza kisha Sony na LG.