Njilembera
JF-Expert Member
- May 10, 2008
- 1,496
- 607
Naangalia TV Imaan. Wa nazungumza Kiswahili muruwa, nimpenda!
ila nimegutushwa, Hawa watangazaji wamekaliwa mkeka, nikaanza kuwaza hivi nikienda pale Kwa mahojiano, intanibidi nijikunje kwenye ule Mkeka! Naogopa kuachia ushuzi, kwani sikuzoea.
hivi wale wanaodai Elimu ya magharibi haikubaliki yaani ni Haramu, hawakuanza hivi hivi! Msinishambulie nilikuwa nafikiria tu!
ila nimegutushwa, Hawa watangazaji wamekaliwa mkeka, nikaanza kuwaza hivi nikienda pale Kwa mahojiano, intanibidi nijikunje kwenye ule Mkeka! Naogopa kuachia ushuzi, kwani sikuzoea.
hivi wale wanaodai Elimu ya magharibi haikubaliki yaani ni Haramu, hawakuanza hivi hivi! Msinishambulie nilikuwa nafikiria tu!