Tv haitoi mwanga

Tv haitoi mwanga

danhoport

JF-Expert Member
Joined
May 20, 2020
Posts
2,116
Reaction score
4,884
Mafundi msaada kidogo, nina tv yangu (smart) imekata mwanga yenyewe ila inawaka kama kawaida. Je kitu gani hapo kwenye hiyo picha kinahitaji kubadilishwa?

20231023_065023.jpg
 
Kitu kirahisi ni kubeba TV na kupeleka kwa Fundi ajue tatizo nini hapa utaambiwa hiki au kile kumbe ni kitu kingine kabisaa na ukaua TV yenyewe...kucheki tatizo wanachaji elfu kumi tu ukiwa hapo hapo na TV yako utaamua watoe hiyo parts ukanunue au laa uondoke nayo bila Wazungu kuonekana...
 
Back
Top Bottom