Tv,deck&subwoofer repair forum

Tv,deck&subwoofer repair forum

Majanki

Member
Joined
Apr 9, 2014
Posts
34
Reaction score
12
Kuna kanuni,mbinu au njia salama muhimu ambazo kila chombo cha umeme kinatumia hasa kinapohitaji repair.Muhimu kufahamu mgawanyiko wa volt na zinapoenda, kipimo husika cha kitu ukipimacho,fahamu matatizo ya kimemory na data,fahamu kupima DC V,na AC V,fahamu kipimo cha resistor(ohms,K ohms,M ohms and etc ohms)fahamu kwamba Diode,transistor na IC inatumia kipimo kimoja.Fahamu kuna aina tofaut za diode kuna diode ya kawaida(nyeus) pia kuna Zenner diode za type mbil zenner diod ya kawaida na zenner yenyewe ambayo symbol yake inaupindo mbele,zenner diode ya kawaida kipimo chake kinaanza 500,zenner yenyewe inaanza 700/600 kutokana na toleo la mita fahamu zaidi kupiti phone no.0757803385 bure.
 
Kuna kanuni,mbinu au njia salama muhimu ambazo kila chombo cha umeme kinatumia hasa kinapohitaji repair.Muhimu kufahamu mgawanyiko wa volt na zinapoenda, kipimo husika cha kitu ukipimacho,fahamu matatizo ya kimemory na data,fahamu kupima DC V,na AC V,fahamu kipimo cha resistor(ohms,K ohms,M ohms and etc ohms)fahamu kwamba Diode,transistor na IC inatumia kipimo kimoja.Fahamu kuna aina tofaut za diode kuna diode ya kawaida(nyeus) pia kuna Zenner diode za type mbil zenner diod ya kawaida na zenner yenyewe ambayo symbol yake inaupindo mbele,zenner diode ya kawaida kipimo chake kinaanza 500,zenner yenyewe inaanza 700/600 kutokana na toleo la mita fahamu zaidi kupiti phone no.0757803385 bure.
Mkuu nakuona ni mbobezi sana kwa vifaa hivi vya umeme,naomba unisaidie ushauri ,nina hometheatre system niko nayo muda mrefu ni kwamba sasa hai play DVD bali VCD tu! kwa sasa naifanya kama amplifier kwa kuiunganisha na DVD player which i am not satsfied with the sound quality and other issues na ki ukweli siko tayari kuitupa.
Je nini tatizo lake na linatatulika?(please note nimewatembelea mafundi mangungu hapa zenj but were total dissapointment)
 
Deck lina side mbili za usomaji cd kuna DVD na VCD ukiona linachagua cd ujue hapo kuna mawil inahitaji lenz isafishe kwa visafishaji maalum ikishindikana ujue hapo teyar lenz inakuwa aina uwezo ibadilishwe,material ya DVD ni mazito kias kwamba lenz ikichoka tu inakuwa aina uwezo wa kusoma ila VCD ina material mepesi sana ndomana hata lenz ikichoka inakuwa inauwezo wa kusoma.jiulize kwann cd ya DVD inachukua muda kuharibika tofaut na VCD nakushahur itafute hyo lenz(jicho) hasa kwenye hometheater Deck na mara nyingi kinacho sumbua hapo ni upatikanaji wa hyo lens tu na ukiipata deck linapona jaribu kuzunguka kwenye used na kwa mafund na usione hasira kutoka pesa kama utalipat.
 
majanki ntakuwa nakusumbua sumbua kwa maswali ya hapa na pale, maana mim uwa na repair sana sub woofer pia naunda amplifier
 
Majanki ungetupia na namba yako ya simu na je upo mkoa gani kama ni Dar upo eneo gani sababu home theatre zenye matatizo zimejaa sebuleni
 
Kwasasa nipo songea hometown ni morogoro no.0757803385 nafundisha na natengeneza hvyo vyombo.
 
Hamna tabu we uliza lolote utajibiwa nautajiendeleza zaid.
 
Fahamu mgawanyiko na mabadiliko ya volt hasa kwenye tv circuit.kuna mabadiliko volt, yanatokea kwenye bahadhi ya circuit capacitor 160V DC, zinarange 110V/102V DC, nikwaajili ya horizantal na matumizi mengine ya flyback transiformer(FBT) 35V DC, range 20V hadi 27V, nikwajili ya vertical IC sasa kuna circuit nyingine volt azitokei kwenye chopa huwa zinatokea kwenye FBT ,16V DC,range 12V had 9V nikwaajili ya reguletor na matumiz yake ya BRG,IC chroma(Data) and control kumbuka kuna regulator ya 9V na 6V DC,25V DC range 16V,14V kwaajili ya sauti,250V DC nikwaajili ya heater kumbuka hzo volt, kuna baadhi ya circuit huwa zinatoka moja kwa moja kwenye chopa wengi wamekalili zinatoka kwenye FBT na 250V ni capastance volt zinazo range 190V kushuka chini na kuna tv nyingine zinatumia had 135V hali hii inatokea kulingana na uwingi au upungufu wa volt kwenye B+.fahamu kama volt za vertical zitatokea kwenye FBT basi kwenye chopa zitatoka 25V DC kwaajili ya kuswich horizantal,pia kumbuka kuna TV bahadh zinatumia 13V kwaajili ya vertical ic mfano singsung na etc.fahamu kwamba si lazima kwamba capacitor ikiandikwa 35V bas zije volt,35 hapana manake volt zisizid idad walio kuandikia vinginevyo itapasuka kwa kawaida inatakiwa zipungue chin ya hapo, kitu au chombo chenye uwezo wakupunguza na kuongeza volt ni variable resistor inayo husika na B+. Pata ujuzi zaid kupitia no. 0757803385.
 
Je, unafahamu waweza tumia transformer V12 AC na transistor regulator kwaajili ya kuunda power ya deck la CD???
 
Nawezaje kuwa mahili wa kupima hizi volt, na kuna tahadhari yoyote inahitajika?
 
Ili kuwa mahili wakupima volt, nimuhimu kuyajua mabadiliko ya umeme wa AC(mkondo geu) na DC (wamoja kwa moja) ujue kipimo cha dc&ac uzitambue diode na Capacitor.fanya yako yote nimuhimu kufahamu mgawanyiko wa volt husika za chombo unachotaka kuki repair,ukifanya hvyo lazima uwe mahili.
 
mambo vp,nina subwoofer aina ya seapiano.ilianza na matatizo ya bass,yani ukiweka base inavuma sana ila bila bass inapiga kawaida.nikampelekea fundi akasema hio ni ac akatengeneza ikawa haiwaki kabisa hata taa haiwaki.fundi wa pili akatengeneza ila sauti ikawa sio kama vile ya mwanzo yaani bass haitoi freshi halaf inavuma kwambali ikakaa kama dak 10 ikatoa moshi kama vile inaungua kwa ndani ndio imezima mpaka sasa.je tatizo nini haswa?naona mafundi imewashinda.msaada tafadhali.
 
iyo itakuwa inatatizo katika power yake, au labda katika kuunganisha waya za multimedia speaker ziligusana, na sometime izo ic zinakuwa sio bora yan ni feki. Ndo zinatabia ya kuparaza mziki kama ukiweka saut kubwa. Cha msingi hapo nadhani umtafute fundi mzuri hasa ambae anaweza unda amplifier
 
Je, unafahamu waweza tumia transformer V12 AC na transistor regulator kwaajili ya kuunda power ya deck la CD???

ndiyo majanki mimi nlishawah fanya hivyo na ikakubali. Hata saiz nimeunda amplifier ambayo nimecombine na upande wa deki ila itasoma flash disk na sio cd. Lakin nina changamoto kwasabu nimeunga ka lcd screen kakusoma upande wa deki, lakin hakana uhusiano na amplifier
 
Back
Top Bottom