G55-MGODI
JF-Expert Member
- Jul 5, 2016
- 1,353
- 1,825
Kwenye chuo kimoja cha kitabibu profesa aliwaingiza Wanafunzi kwenye chumba chenye maiti akawambia sifa za udaktari ni kutokuwa na kinyaa na pili ni kuwa makini akaingiza kidole chake kwenye njia ya haja kubwa ya maiti mmoja kisha akalamba halafu akawambia wote wafanye hivyo ......na wote wakafanya hivyo .....akawambia zoezi la kutokuwa na kinyaa mmefaulu ila kutokuwa makini mmefeli .....mimi niliingiza kidole cha kati lakn nikalamba kidole cha pili toka gumba .....
Nasikia pfofesa alizikwa kabla ya maiti ile ..
Nasikia pfofesa alizikwa kabla ya maiti ile ..
