Tuwekani wazi Tanzania siyo tajiri hivyo, ni kawaida tu

Barbarosa

JF-Expert Member
Apr 16, 2015
22,584
27,817
Siku zote mimi naamini moja kati ya sababu ya watu kuchanganyikiwa maishani ni kuwa na mategemeo makubwa juu ya kile walichoakiamini au walichoaminishwa kwa muda mrefu kwamba wanakistahili kukipata na siku ikifika wakakikosa basi hapo ndipo matatizo huanza, na sababu ni kwamba kile walichokiamini au aminishwa hakikuwa na uhalisia wowote ule, ni kwamba walidanganywa au kujidanganya!

Hivyo basi ninachotaka kusema ni kwamba sisi kama Watanzania tumekuwa tukiamini na kuaminishwa kwamba nchi yetu ni tajiri sana kuna wengine hata wanaamini kwamba nchi yetu ni moja kati ya nchi tajiri Duniani na hii ni kila kitu kuanzia, Madini, ardhi, Mito, Maziwa na Bahari, Mafuta na Gesi mpaka misitu na kuna wengine pia wengi tu wanaamini kwamba nchi yetu ndiyo yenye vivutio vizuri vya Utalii klk zote Duniani!
Sasa basi pmj na ukweli kwamba hivyo vitu tunavyo lkn nchi yetu siyo tajiri klk zote Duniani au hata hapa hapa Afrika tu, na vitu vyote tulivyonavyo wengine pia wanavyo, yaani hatuna upekee wowote ule kwenye haya mambo, hivyo tuache kujidanganya na tuache kuwa na mategemeo makubwa klk uhalisia kwani matokeo yake ni kuja kuwa na maisha yasiyo kuwa na furaha huko mbele!!

Hivyo ningependa WatanZania watambue hilo kwamba nchi yetu ina rasilimali nyingi lkn siyo kwamba tuna Rasilimali nyingi klk wengine hapana, kila nchi ina Rasilimali, hivyo tushushe mategemeo na matarajio yetu na turudi kwenye uhalisia, hii itatusaidia huko mbele kuishi maisha ya kuridhisha na yenye furaha!
 
Siku zote mimi naamini moja kati ya sababu ya watu kuchanganyikiwa maishani ni kuwa na mategemeo makubwa juu ya kile walichoakiamini au walichoaminishwa kwa muda mrefu kwamba wanakistahili kukipata na siku ikifika wakakikosa basi hapo ndipo matatizo huanza, na sababu ni kwamba kile walichokiamini au aminishwa hakikuwa na uhalisia wowote ule, ni kwamba walidanganywa au kujidanganya!

Hivyo basi ninachotaka kusema ni kwamba sisi kama Watanzania tumekuwa tukiamini na kuaminishwa kwamba nchi yetu ni tajiri sana kuna wengine hata wanaamini kwamba nchi yetu ni moja kati ya nchi tajiri Duniani na hii ni kila kitu kuanzia, Madini, ardhi, Mito, Maziwa na Bahari, Mafuta na Gesi mpaka misitu na kuna wengine pia wengi tu wanaamini kwamba nchi yetu ndiyo yenye vivutio vizuri vya Utalii klk zote Duniani!
Sasa basi pmj na ukweli kwamba hivyo vitu tunavyo lkn nchi yetu siyo tajiri klk zote Duniani au hata hapa hapa Afrika tu, na vitu vyote tulivyonavyo wengine pia wanavyo, yaani hatuna upekee wowote ule kwenye haya mambo, hivyo tuache kujidanganya na tuache kuwa na mategemeo makubwa klk uhalisia kwani matokeo yake ni kuja kuwa na maisha yasiyo kuwa na furaha huko mbele!!

Hivyo ningependa WatanZania watambue hilo kwamba nchi yetu ina rasilimali nyingi lkn siyo kwamba tuna Rasilimali nyingi klk wengine hapana, kila nchi ina Rasilimali, hivyo tushushe mategemeo na matarajio yetu na turudi kwenye uhalisia, hii itatusaidia huko mbele kuishi maisha ya kuridhisha na yenye furaha!
Sijaelewa bado mantiki ya uzi wako ni nini hasa!!unataka kutuaminisha kwamba tz sio tajiri wa rasilimali ama tz haiongozi kwa kuwa na rasilimali nyingi duniani ama afrika au unataka kutuaminisha kuwa TZ haiongozi kwa kuwa na rasilimali za kipekee?!
 
Unataka kusema nini wewe...?

Nchi yenye aina ya Madini (Imethibitishwa Madini ya Tanzanite) yanapatikana Tanzania pekee. Tuna kila aina ya vivutio vya kitalii.. Tuna gesi, Mafuta. Tuna Bandari Nchi zaidi ya sita zinazotegemea Bandari yetu kufikisha mizigo Nchini mwao. Tunamisitu, Ardhi nzuri yenye rutuba hapa nimeweka kwa uchache kabisa... Hivi unataka Utajiri wa namna gani wewe? Pesa?.

Nchi ya Singapore inategemea Bandari pekee kuendesha nchi yao. Nchi za Kiarabu zinategemea Mafuta pekee kuendesha Nchi zao. Hali kadhalika kuna Nchi zinategemea Utalii pekee kuendesha Nchi zao. Sisi tuna kila aina ya hivyo vyote nilivyoorodhesha hapo juu. Unataka utajiri wa namna gani?

Wakati wenzetu wanautajiri huo wa Rasilimali lakini pia Wanautajiri wa VIONGOZI

Tanzania Umasikini wetu mkubwa uko kwa Viongozi. Inashangaza sana katikati ya Utajiri huu unaotuzunguka mtu anasimama hadhalani kudai ati sisi ni wa kawaida. Haya ni mawazo ya Wanaccm kutaka kupandikiza akili za kushindwa kuliongoza Taifa hili vichwani mwa Wapambanaji wanaoibuka leo ili akili zao zifanane na wao na hivyo kushindwa kulipeleka mbele Taifa sawasawa na wao walivyoshindwa.

Pepo hili la kushindwa linatakiwa kukemewa na kila Mwananchi mpenda Maendeleo wa Taifa hili. Tunapaswa kutembea kifua mbele kujivunia Rasilimali tulizojaaliwa na Muumba huku tukitimiza wajibu wetu ili kuupata Utajiri wa pesa unaonadiwa hapa na Mleta mada.

Ngoja nifupishe kwa kuishia hapa.

BACK TANGANYIKA
 
Siku zote mimi naamini moja kati ya sababu ya watu kuchanganyikiwa maishani ni kuwa na mategemeo makubwa juu ya kile walichoakiamini au walichoaminishwa kwa muda mrefu kwamba wanakistahili kukipata na siku ikifika wakakikosa basi hapo ndipo matatizo huanza, na sababu ni kwamba kile walichokiamini au aminishwa hakikuwa na uhalisia wowote ule, ni kwamba walidanganywa au kujidanganya!

Hivyo basi ninachotaka kusema ni kwamba sisi kama Watanzania tumekuwa tukiamini na kuaminishwa kwamba nchi yetu ni tajiri sana kuna wengine hata wanaamini kwamba nchi yetu ni moja kati ya nchi tajiri Duniani na hii ni kila kitu kuanzia, Madini, ardhi, Mito, Maziwa na Bahari, Mafuta na Gesi mpaka misitu na kuna wengine pia wengi tu wanaamini kwamba nchi yetu ndiyo yenye vivutio vizuri vya Utalii klk zote Duniani!
Sasa basi pmj na ukweli kwamba hivyo vitu tunavyo lkn nchi yetu siyo tajiri klk zote Duniani au hata hapa hapa Afrika tu, na vitu vyote tulivyonavyo wengine pia wanavyo, yaani hatuna upekee wowote ule kwenye haya mambo, hivyo tuache kujidanganya na tuache kuwa na mategemeo makubwa klk uhalisia kwani matokeo yake ni kuja kuwa na maisha yasiyo kuwa na furaha huko mbele!!

Hivyo ningependa WatanZania watambue hilo kwamba nchi yetu ina rasilimali nyingi lkn siyo kwamba tuna Rasilimali nyingi klk wengine hapana, kila nchi ina Rasilimali, hivyo tushushe mategemeo na matarajio yetu na turudi kwenye uhalisia, hii itatusaidia huko mbele kuishi maisha ya kuridhisha na yenye furaha!
Third rate thread; too vague and shallow, kajipange upya urudi kivingine!
 
Unataka kusema nini wewe...?

Nchi yenye aina ya Madini (Imethibitishwa Madini ya Tanzanite) yanapatikana Tanzania pekee. Tuna kila aina ya vivutio vya kitalii.. Tuna gesi, Mafuta. Tuna Bandari Nchi zaidi ya sita zinazotegemea Bandari yetu kufikisha mizigo Nchini mwao. Tunamisitu, Ardhi nzuri yenye rutuba hapa nimeweka kwa uchache kabisa... Hivi unataka Utajiri wa namna gani wewe? Pesa?.

Nchi ya Singapore inategemea Bandari pekee kuendesha nchi yao. Nchi za Kiarabu zinategemea Mafuta pekee kuendesha Nchi zao. Hali kadhalika kuna Nchi zinategemea Utalii pekee kuendesha Nchi zao. Sisi tuna kila aina ya hivyo vyote nilivyoorodhesha hapo juu. Unataka utajiri wa namna gani?

Wakati wenzetu wanautajiri huo wa Rasilimali lakini pia Wanautajiri wa VIONGOZI

Tanzania Umasikini wetu mkubwa uko kwa Viongozi. Inashangaza sana katikati ya Utajiri huu unaotuzunguka mtu anasimama hadhalani kudai ati sisi ni wa kawaida. Haya ni mawazo ya Wanaccm kutaka kupandikiza akili za kushindwa kuliongoza Taifa hili vichwani mwa Wapambanaji wanaoibuka leo ili akili zao zifanane na wao na hivyo kushindwa kulipeleka mbele Taifa sawasawa na wao walivyoshindwa.

Pepo hili la kushindwa linatakiwa kukemewa na kila Mwananchi mpenda Maendeleo wa Taifa hili. Tunapaswa kutembea kifua mbele kujivunia Rasilimali tulizojaaliwa na Muumba huku tukitimiza wajibu wetu ili kuupata Utajiri wa pesa unaonadiwa hapa na Mleta mada.

Ngoja nifupishe kwa kuishia hapa.

BACK TANGANYIKA


Soma vizuri nilichoandika ni kweli kwamba tuna Rasilimali lkn kila nchi ina Rasilimali na wala sisi hatuongozi kuwa na Rasilimali nyingi Duniani!
 
Unataka kusema nini wewe...?

Nchi yenye aina ya Madini (Imethibitishwa Madini ya Tanzanite) yanapatikana Tanzania pekee. Tuna kila aina ya vivutio vya kitalii.. Tuna gesi, Mafuta. Tuna Bandari Nchi zaidi ya sita zinazotegemea Bandari yetu kufikisha mizigo Nchini mwao. Tunamisitu, Ardhi nzuri yenye rutuba hapa nimeweka kwa uchache kabisa... Hivi unataka Utajiri wa namna gani wewe? Pesa?.

Nchi ya Singapore inategemea Bandari pekee kuendesha nchi yao. Nchi za Kiarabu zinategemea Mafuta pekee kuendesha Nchi zao. Hali kadhalika kuna Nchi zinategemea Utalii pekee kuendesha Nchi zao. Sisi tuna kila aina ya hivyo vyote nilivyoorodhesha hapo juu. Unataka utajiri wa namna gani?

Wakati wenzetu wanautajiri huo wa Rasilimali lakini pia Wanautajiri wa VIONGOZI

Tanzania Umasikini wetu mkubwa uko kwa Viongozi. Inashangaza sana katikati ya Utajiri huu unaotuzunguka mtu anasimama hadhalani kudai ati sisi ni wa kawaida. Haya ni mawazo ya Wanaccm kutaka kupandikiza akili za kushindwa kuliongoza Taifa hili vichwani mwa Wapambanaji wanaoibuka leo ili akili zao zifanane na wao na hivyo kushindwa kulipeleka mbele Taifa sawasawa na wao walivyoshindwa.

Pepo hili la kushindwa linatakiwa kukemewa na kila Mwananchi mpenda Maendeleo wa Taifa hili. Tunapaswa kutembea kifua mbele kujivunia Rasilimali tulizojaaliwa na Muumba huku tukitimiza wajibu wetu ili kuupata Utajiri wa pesa unaonadiwa hapa na Mleta mada.

Ngoja nifupishe kwa kuishia hapa.

BACK TANGANYIKA
Ingekua vyema kama ungelinganisha tanzania na nchi nyingine ambazo nazo zina advantage km za tanzania,kisha ulinganishe maendeleo yao na yetu then utaelewa km sisi sio tajiri bali tuna opportunities..tanzania ni nchi ya kawaida tu lkn yenye fursa za kutosha ambazo zikitumiwa vizuri zitaleta maendeleo..
 
Soma vizuri nilichoandika ni kweli kwamba tuna Rasilimali lkn kila nchi ina Rasilimali na wala sisi hatuongozi kuwa na Rasilimali nyingi Duniani!
Kusema ukweli ni kujitendea haki. Rasilimali tunazo na tukizitumia kiusahihi tutavuka. Lakini sisi siyo pekee kama ulivyosema, na ukweli huu uwekwe wazi tu. Kwanza kwa Rasilimali za asili DRC tu hatuifikii!
 
Umejaribu kuijibu thread ya jamaa alieleta uzi aliouliza Rasilimali za Tanzania nani anazifaidi? Lakini huna hoja za kumjibu jamaa kwakweli.
 
Back
Top Bottom