Mr simple M
JF-Expert Member
- Sep 18, 2020
- 2,074
- 4,300
Kimeumana uk tyr
🤣🤣🤣🤣🤣Hujaelewa swali. Umesema wewe hutembei na vya watu, ndio nakuuliza unajuaje ni vya watu na kwenye thread unalalama hawajitambulishi?
Vyako vinatembeaga na vya wengine au wengine!?Hakuna lolote mie sijatendwa na sitembeagi na vya watu
Hata wewe hujaelewa jibu langu.Hujaelewa swali. Umesema wewe hutembei na vya watu, ndio nakuuliza unajuaje ni vya watu na kwenye thread unalalama hawajitambulishi?
Umefurahii aha yaani humu humu kuna mtu kaua ndoa yangu eti unajua kajifanya nini kajifanya swahiba wakaribu.🤣🤣🤣🤣🤣
Haswaa ila vya watu sitembeagi navyoo.Vyako vinatembeaga na vya wengine au wengine!?
Sasa mchepuko uliokakamaa namna hiyo wa kazi gani?Hatukatai wadau jf kuwa mpo fresh na mnaendelea na majukumu.
Ni hivi mbona waliooa siku mingi kama 2000 nakuendelea mbele mpaka 2010 hawawatu wanakuwa natabia ya kuficha mahusiano yao?
Mtu hawezi sema nimeoa mpaka alete mtarafuku na maugomvi kati ya mchepuko na wife ndio anasema shida yao nini??
Maana wengine hadi napete tokea aoe havai .
Acheni kuumiza watu maisha sio hivi mnavyoishi.
Kwani ukisema umeoa unapungukiwa na nini??
Ipo siku mkeo ataletewa shida kubwa tu na mchepuko .
Unakuta mchepuko ni mjeda au ni polisi au ni mnyanyua vyuma na hujamwambia unamke.
Haya ipo siku mtarekebishwa na mtatulia yangu machoo nimewasilisha.
Ujumbee umefika .
Nimefunga mada ahaaSasa mchepuko uliokakamaa namna hiyo wa kazi gani?
Dada acha kuitesa Papuchi kiasi hicho
Kama hakina mtu unapita nacho!?Haswaa ila vya watu sitembeagi navyoo.
ila naangalia sio kila king'aacho ni dhahabuKama hakina mtu unapita nacho!?
Sawa Unique Flower ila kujua ni kazi kubwa ukizingatia tuna vinyonga wengi sanaila naangalia sio kila king'aacho ni dhahabu
Pole kwa yaliyokukuta but grow up lady. mtu aliyeoa mwaka 2000 hakosi miaka 45-50,sasa umri huo anakudabganya kuwa hajaoa na unaaminjHatukatai wadau jf kuwa mpo fresh na mnaendelea na majukumu.
Ni hivi mbona waliooa siku mingi kama 2000 nakuendelea mbele mpaka 2010 hawawatu wanakuwa natabia ya kuficha mahusiano yao?
Mtu hawezi sema nimeoa mpaka alete mtarafuku na maugomvi kati ya mchepuko na wife ndio anasema shida yao nini??
Maana wengine hadi napete tokea aoe havai .
Acheni kuumiza watu maisha sio hivi mnavyoishi.
Kwani ukisema umeoa unapungukiwa na nini??
Ipo siku mkeo ataletewa shida kubwa tu na mchepuko .
Unakuta mchepuko ni mjeda au ni polisi au ni mnyanyua vyuma na hujamwambia unamke.
Haya ipo siku mtarekebishwa na mtatulia yangu machoo nimewasilisha.
Ujumbee umefika .
Mie sijawahi danganywa na mwanaume yeyote kwenye huo upandePole kwa yaliyokukuta but grow up lady. mtu aliyeoa mwaka 2000 hakosi miaka 45-50,sasa umri huo anakudabganya kuwa hajaoa na unaaminj
NajuaSawa Unique Flower ila kujua ni kazi kubwa ukizingatia tuna vinyonga wengi sana
Huwezi kubali ila pole iko palepaleMie sijawahi danganywa na mwanaume yeyote kwenye huo upande
😆😆😆😆Mbona mnanisema hivyo
Niko sureHuwezi kubali ila pole iko palepale