Tuwe Makini wasichana tutadanganywa mpaka lini??

<br />
<br />
Huo mkwara mbuzi csta,sisi kudanganywa ni kama pai,usipodanganywa hutofurah hata kdg.
Tuombe serikali bada ya kuoa na kuolewa wagongwe mihuli sehemu fulani.
 
Pole sanadada,ushauri wangu nadhan itakusaidia kwa sababu i know well upo kwenye ctuation gan,najua maumivu ya mapenzi.4get,4give yupo aliyeandaliwa kukupa rill luv, ukikubali uke wenza utajuta kuzaliwa mwanamke,HAKUNA MTU MWENYE ROHO MBILI,NI MOJA 2.Utakubalije bac mtu kukwambia i lov u frm ma hat,ilhali yupo aliyekaa kwake?bac jamaa labda ana roho mbili!wat i know mapenzi yapo rohon.
 
<br />
<br />
Huo mkwara mbuzi csta,sisi kudanganywa ni kama pai,usipodanganywa hutofurah hata kdg.
Tuombe serikali bada ya kuoa na kuolewa wagongwe mihuli sehemu fulani.
Du kweli wapigwe mihuli tu naona itakuwa suluhisho
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…