Ndgu zangu poleni na majukumu,
Kama mtanzania nimesikitishwa sana na kauli alizotoa Mh. Msigwa huko Nairobi, Msigwa anadai wanausalama wanamtafuta yeye na wenzake wawaue ni jambo la kushangaza.
Ukijiuliza vizuri, Msigwa ni nani mpaka atafutwe? Ana nini cha ziada?
Mchungaji huyu anataka kutumia janga hili la mheshimiwa Lissu kutafuta kiki kiasi kwamba naye ni mtu wa kipekee kama Lissu.
Tuwe makini maana wanatuchonganisha na serikali tuione haifai kumbe wao ndiyo hawafai maana wana ajenda zao binafsi kuliko za kitaifa.
Nampongeza sana Mh. Mbowe ni mtu anayetumia busara na hekima kubwa sana wakati wa mambo kama haya, Mara nyingi amekuwa ni mtu mvumilivu,mstahimilivu na mnyenyekevu sana si mtu wa kuongelea jambo asilokuwa na uhakika nalo.
Msigwa kwa hali hii unajijusha hadhi kuliko unavyofikiria kujipatia kiki, umeongea BBC mambo yasiyo na maana wala uhakika kazi yako kelele na kutafuta umaarufu wa kisiasa.
TUWENI MAKINI NAO WATU KAMA HAWA
Kama mtanzania nimesikitishwa sana na kauli alizotoa Mh. Msigwa huko Nairobi, Msigwa anadai wanausalama wanamtafuta yeye na wenzake wawaue ni jambo la kushangaza.
Ukijiuliza vizuri, Msigwa ni nani mpaka atafutwe? Ana nini cha ziada?
Mchungaji huyu anataka kutumia janga hili la mheshimiwa Lissu kutafuta kiki kiasi kwamba naye ni mtu wa kipekee kama Lissu.
Tuwe makini maana wanatuchonganisha na serikali tuione haifai kumbe wao ndiyo hawafai maana wana ajenda zao binafsi kuliko za kitaifa.
Nampongeza sana Mh. Mbowe ni mtu anayetumia busara na hekima kubwa sana wakati wa mambo kama haya, Mara nyingi amekuwa ni mtu mvumilivu,mstahimilivu na mnyenyekevu sana si mtu wa kuongelea jambo asilokuwa na uhakika nalo.
Msigwa kwa hali hii unajijusha hadhi kuliko unavyofikiria kujipatia kiki, umeongea BBC mambo yasiyo na maana wala uhakika kazi yako kelele na kutafuta umaarufu wa kisiasa.
TUWENI MAKINI NAO WATU KAMA HAWA