Et waungwana wataalam wa IT, Kuna yeyote anayewajua maprogrammer waliocode jamiiforums?
Tuwajue ili tuwape credit kwa kudevelop platform hii adhimu sana kwa waTZ!
Hizi forums huwa ni software unanunua leseni kuzitumia. JF mwanzoni ilikuwa inatumia vbulletin, miaka kama minne hivi iliyopita wakabadilisha na kutumia XenForo.
Hizi forums huwa ni software unanunua leseni kuzitumia. JF mwanzoni ilikuwa inatumia vbulletin, miaka kama minne hivi iliyopita wakabadilisha na kutumia VerticalScope (hii ya sasa).
Hizi forums huwa ni software unanunua leseni kuzitumia. JF mwanzoni ilikuwa inatumia vbulletin, miaka kama minne hivi iliyopita wakabadilisha na kutumia VerticalScope (hii ya sasa).
Hizi forums huwa ni software unanunua leseni kuzitumia. JF mwanzoni ilikuwa inatumia vbulletin, miaka kama minne hivi iliyopita wakabadilisha na kutumia VerticalScope (hii ya sasa).
Et waungwana wataalam wa IT, Kuna yeyote anayewajua maprogrammer waliocode jamiiforums?
Tuwajue ili tuwape credit kwa kudevelop platform hii adhimu sana kwa waTZ!
Ni software tuu kama vile Windows (Experience, Vista, 7, 8, 10 et). Zote hizo una nunua leseni ya kutumia ili utumie kwenye personal computer yako. Tofauti yake, hizi za JF unaweka kwenye server.
Wapo pia wanao sukuma gurudumu, na wao ni developer pia na kila siku mnalilia new feature wanawapatia so Kama unawaulizia hawa ni wasiojulikana. Mpaka Maxence Melo awatambulishe so hamna anayewajua ila wapo.
Et waungwana wataalam wa IT, Kuna yeyote anayewajua maprogrammer waliocode jamiiforums?
Tuwajue ili tuwape credit kwa kudevelop platform hii adhimu sana kwa waTZ!
yeah man nishaitumia, ni kui upload tuu kwenye server yako and make few changes and boom you got forum but XenForo ni proprietary software . you can find it nulled but tumia mybb ipo fresh and free
Ni software tuu kama vile Windows (Experience, Vista, 7, 8, 10 et). Zote hizo una nunua leseni ya kutumia ili utumie kwenye personal computer yako. Tofauti yake, hizi za JF unaweka kwenye server.