Tuwataje wanaotuharibia..

Wenje dr slaa na lema ni janga kwa taifa letu huleeeeeeeeeeeeeeeeeee,mbowe ni kiongozi makini pia lossy na tuntemeke

Umekosea kidogo! slaa siyo kiongozi wa serikalini.
 
Mzee mwenye kichwa kufugia nywele (mnamuita muraaaa Werema), mzee wa Bunda (aka tyson), first class economist (lameck madelu au mwigulu nchemba) ...... aahhhhh orodha ndefu choka mie

hahahaha! hii imetulia ++
 

Embu toa mada zenye akili. Sasa ndio umeanzisha mada gani hii? Kama huna cha kuandika kaa kimya. Soma michango ya wenzako.
 
Embu toa mada zenye akili. Sasa ndio umeanzisha mada gani hii? Kama huna cha kuandika kaa kimya.

Kwani mada hujaielewa? je, katika jamii unayoish hakuna matatizo yanayotokana na uongozi m'baya?
 
1. Kikwete
2. Pinda.
3. Lowasa
4. Makinda Anna
5. Mwema
6. Warema
7. Tendwa
8. Manumba DPP
9. Media zote
10. Katiba ya zamani
11. Wabunge viti maalumu.

Jazieni basi yani mpaka nitaje wote
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…