Wakuu,
Hebu tuwataje viongozi wa serikali kwenye nafasi mbali mbali ambao wao hawastahili kuwepo katika nafasi hizo, na uwepo wao ndiyo kikwazo cha maendeleo! hawa wamewekwa tu ili kujaza nafas bila kuzingatia utashi. Naanza na Mulugo, endelea kutaja.....