Tuwarambeeee........Lusinde,Lowasa.Mkapa,na Mabwege wote wa Rangi ya kuruhusu Magari barabarani Mmejiramba wenyewe VIVA Chadema na Wa Igunga Afe basi wandugu?
mh mimba zimebadilika ghafula tumboni duuuuuuuh au dokta mwenyewe majimarefu aliwadanganya, kwa kweli habari ndiyo hiyo sijui watapita wapi na matendo maovu waliyoyatenda na wabunge wetu mliowakatakata mwanza mtalipa siku si nyingi.