Kaa la Moto
JF-Expert Member
- Apr 24, 2008
- 7,907
- 1,080
Wakuu mie naona hatua tuliyofikia bora tukubaliane kuuza nchi hii tugawane pesa yaishe maana hawa watawala wanaanza kutuzidi ujanja. Wameuza kila kitu na sasa wanatamani kutuuza Tanganyika kwa zanzibar na tusipokuwa makini watauza nchi yetu Tanganyika na watatuuza na sisi tukiwa ndani. Ni afadhali tusiuzwe bali tushinikize nchi iuzwe na woooote kila mtu apewe mgao wake. No way.
Mie nchi ikishauzwa nakwenda Sudan.
Mie nchi ikishauzwa nakwenda Sudan.