Tutegemee Polepole kuibuka wakati wowote na Press zake

Tutegemee Polepole kuibuka wakati wowote na Press zake

Sawa ila sasa atasema nini kipya wakati wahuni aliosema ndo hao washajitambulisha rasmi bila kwere baada ya rostum kuanzisha?
 
Umeshapanic dadeki 😂
Hakuna mtu anayepanic kwani waliojitokeza pale ni wafanyabiashara ma mbuzi kutakatisha fedha zao walizochuma kwa njia ya haramu!
Hizo pesa walizotoa watazirudisha kwa kukwepa kodi na deficit itakatotokea kwenye budget itafidiwa na walalahoi ambao watalipa kodi katika vitu vya muhimu kama umeme, maji , vyakula na tozo kwenye mawasiliano!!
Kwa kifupi ccm inawaibia walalahoi na kuwalinda matajiri.
Ccm ni chama cha mafisi na sio ma mbuzi tena!
 
Back
Top Bottom