Tutegemee Polepole kuibuka wakati wowote na Press zake

Tutegemee Polepole kuibuka wakati wowote na Press zake

Katika kitu nitakachowashauri familia yangu ni kukaa mbali na ccm......ni kundi la watu hatari zaidi Tanzania.

Ile drama ya jana, ni kuwafanya Watanzania wajinga...mnachanga hela kwenda kwenye tukio ambalo Matokeo yake mnayo.
 
Katika kitu nitakachowashauri familia yangu ni kukaa mbali na ccm......ni kundi la watu hatari zaidi Tanzania.

Ile drama ya jana, ni kuwafanya Watanzania wajinga...mnachanga hela kwenda kwenye tukio ambalo Matokeo yake mnayo.
Familia mfu kama hiyo ije ccm kufanya nini?!!!!!
 
black face with black heart sio 🐒

A white man with a white heart😱


49d676cc-5c8f-4032-9316-2a818c2f636a.jpeg
Screenshot 2025-08-12 at 21.17.01.png

49d676cc-5c8f-4032-9316-2a818c2f636a.jpeg
Screenshot 2025-08-12 at 21.17.01.png
 
Ccm kuomba hela ni sawa na amri utake usitake utatoa ili kujikomba kwa utawala.
Au unataka TRA na TAKUKURU waanze kupiga hodi mlangoni
Bado kuna zimamoto na OSHA
 
Ngoja tusubiri ile spana aliyesema atapiga ccm itayumba haijawahi kutokea tangu chama kuanzishwa
 
Back
Top Bottom