Nilicho kiona mpaka sasa ni mwenyekiti wa chama cha ccm akimwacha mgombea wao akiswampa pekeee. na hiliali mwaka 2005 mwenyekiti alipewa kampani na mkapa.
Je kweli wasemavyo watu kila kitu kinamwisho na huu ndo mwisho wa hiki chama kilicho tawala kama ndiyo mama wa vyama wa Tanzania?
ukibaki ccm majeraha uliyoyapata hayata pona ndani ya miaka 5.na ukishindwa jua ndo unapotea mazima.
Je kweli wasemavyo watu kila kitu kinamwisho na huu ndo mwisho wa hiki chama kilicho tawala kama ndiyo mama wa vyama wa Tanzania?
ukibaki ccm majeraha uliyoyapata hayata pona ndani ya miaka 5.na ukishindwa jua ndo unapotea mazima.