Kama huu uchaguzi bandia utafanyika chumbani kwa mafisadi sawa lakini kama ni mtaani tutazuia.
Hakuna uchaguzi mtaani utakaofanyika ole wake mtu apige kura kwenye uchaguzi ambao hakuna hakikisho la tume huru na upinzani wenye nguvu umezuiwa kwanini na sisisi tusizuie ?
Shida mshaweka taharuki huku mtaani watu wazima vile vizee vipiga kura vishaanza patwa na uoga kuna clip inatembea akionekana raia na wino watu wanamalizana nae..
Jamani mbona haya maandamano ishakua ni balaa tena?
Leo Heche kanyakuliwa na manjagu mbele ya makamanda uchwara hivi hivi tena mchana kweupee. Halafu eti oh tunangoja maandamano tarehe ishirini na tisa duh😎
Wewe unaishi wapi asiyejuwa huo umati ni wa akina nani?
Kama unazungumzia masanduku ya kura kujazwa na kura FEKI kwa kielelezo cha umati huo wa mikutano, elewa kuwa hakuna hata sanduku moja litakalohesabiwa takataka hizo zilizomo ndani yake.
Yote hayo yatachomwa moto.