Tutakutana Oktoba 2020-CHADEMA!

Tutakutana Oktoba 2020-CHADEMA!

Barbarosa

JF-Expert Member
Joined
Apr 16, 2015
Posts
22,584
Reaction score
27,837
Huu msemo umeshanikinahi wa Upinzani (CHADEMA) nilianzia kuusikia 2005, kwamba tutakutana Oktoba 2005, ikaja na ikapita, ukahamia tutakutana oktoba 2010 ikaja na ikapita sasa hivi tena umerudia umaarufu wake tutakutana 2015 ndiyo mwisho wa CCM, sasa sijui baada ya hapo watahamia 2020, ngoja tusubiri!
 
Kwani kuna ubaya gani hata wakisema hivyo. mbona katika chaguzi zote kama chadema hawajawahi poteza hata mmoja? zaidi zaidi wanazidi kuwapunguza CCM na kujiongezea nguvu kila mwaka. CHADEMA au chama chochote cha upinzani kisingeweza kufanya maajabu ya kuchukua dola kwa muda mfupi kama unavyofikiri. huwezi ukafananisha na ccm ambao wanaendesha chama kama wao ndio serikali na dola yote inawasikiliza wao.
 
Ni msemo tu wa kishabiki wala usikinaike nao mkuu. Hata wapenzi wa mchezo wa mpira na hata ngumi wanatambiana hivyo kabla ya mchezo na baada ya mchezo. Hata hivyo maamuzi yenye maana ni ndani ya dakika 90 mpira au dak 10 ngumi. Inanogesha mchezo.
 
Wakati mwingi tunaaswa usikatae kwamba Mungu yupo halafu siku moja ukajikuta uko mbele yake kujibu maswali magumu. Kumkoromea Slaa au Lowasa vibaya kwa sasa sijui itakuwaje siku ukakuta yuko mbele yako na king'ora na traffic wanakuambia kaa na gari lako pembeni mkuu apite???
 
Huu msemo umeshanikinahi wa Upinzani (CHADEMA) nilianzia kuusikia 2005, kwamba tutakutana Oktoba 2005, ikaja na ikapita, ukahamia tutakutana oktoba 2010 ikaja na ikapita sasa hivi tena umerudia umaarufu wake tutakutana 2015 ndiyo
wa CCM, sasa sijui baada ya hapo watahamia 2020, ngoja tusubiri!

Ha ha ha ha ha ha
 
Huu msemo umeshanikinahi wa Upinzani (CHADEMA) nilianzia kuusikia 2005, kwamba tutakutana Oktoba 2005, ikaja na ikapita, ukahamia tutakutana oktoba 2010 ikaja na ikapita sasa hivi tena umerudia umaarufu wake tutakutana 2015 ndiyo mwisho wa CCM, sasa sijui baada ya hapo watahamia 2020, ngoja tusubiri!

Huo msemo wako umekudhuru? Kama sio kaa kimya milele.
 
Huu msemo umeshanikinahi wa Upinzani (CHADEMA) nilianzia kuusikia 2005, kwamba tutakutana Oktoba 2005, ikaja na ikapita, ukahamia tutakutana oktoba 2010 ikaja na ikapita sasa hivi tena umerudia umaarufu wake tutakutana 2015 ndiyo mwisho wa CCM, sasa sijui baada ya hapo watahamia 2020, ngoja tusubiri!

Je, huo msemo wao umekudhuru? Kama sio basi kaa kimya milele.
 
Je, huo msemo wao umekudhuru? Kama sio basi kaa kimya milele.
Huyo hajielewi mbona katika miaka yote hiyo chadema wameihenyesha sana Ccm? Unadhani sababu ya kina kinana kutokaa ofisini na kulala na wakw zao na kulazimika kuzunguka nchi nzima wanapenda
?
Ulishawahi kuona Ccm wanafanya hivyo kabla? Chadema imekuwa tishio kwa Ccm baada ya Slaa kufukua mambo ya epa. Kipindi hicho wabungevwa upinzani walikuwa watano tu. Kimsingi cjadema imeanza kuwika kuanzia 2010. Kabla ya hapo walikuwa nccr na Cuf. Pamoja na hayo kwa muda mfupi chadema imechangamsha sana siasa zetu ma kuvutia wengi kufuatilia. Sasa 2015 na baadaye km hamjaiba kura kwa kutumia vyombo vya dola mtaisoma namba
 
shushuuuuuuuu!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!?
 
Huyo hajielewi mbona katika miaka yote hiyo chadema wameihenyesha sana Ccm? Unadhani sababu ya kina kinana kutokaa ofisini na kulala na wakw zao na kulazimika kuzunguka nchi nzima wanapenda
?
Ulishawahi kuona Ccm wanafanya hivyo kabla? Chadema imekuwa tishio kwa Ccm baada ya Slaa kufukua mambo ya epa. Kipindi hicho wabungevwa upinzani walikuwa watano tu. Kimsingi cjadema imeanza kuwika kuanzia 2010. Kabla ya hapo walikuwa nccr na Cuf. Pamoja na hayo kwa muda mfupi chadema imechangamsha sana siasa zetu ma kuvutia wengi kufuatilia. Sasa 2015 na baadaye km hamjaiba kura kwa kutumia vyombo vya dola mtaisoma namba

Wataisoma namba hata kimya kimya.
 
Back
Top Bottom