GE2010 Tusome Vipengele Hivi


Kwa mfumo wa dunia ulivyo sasa suala la elimu si la kusubiri kuhubiriwa ilani ya chama fukani tena. Hata wakasema mkisema mnabadilisha hiyo ilani yenu na kuifanya yenye kuhubiri watu wasisome, hakuna atakaye wasikiliza. Kila mtu na kila mzazi anajua bila 'shule' huko mbele hakieleweki. Kwa hiyo hiyo habari ya ilani ya CCM ni sawa na hadithi za mapokeo tu.
 
Calculator yangu imekataa. hebu nisaidie kupata ratio ya 520,000 kwa 7,500,000 halafu unimbie ni asilimia ngapi wanenda secondary!!!!!!!!!!!????????????????

kweli fanfa.Unajua tofauti ya 0 na 1?
 

na shadema???Ilani ni muongozo wewe.
 
very good indeed... ndio maana tunaelekea kuigeuza kigoma dubai na daraja la dhahabu kigamboni... watanzania kwa document ni balaa, kwa action ni mawaaaa tupu

i wont trust anything written for action especially being written by a tannzanian
kweli kabisa mkuu acid
Bongo maandishi, kenya utekelezaji. Kujenga uchumi imara bila mikakati ya kupunguza ufujaji, tutaendelea kuwa tegemezi
Kitendawili ........ tega! "zilongwa mbali zitendwa ...................."
 

Mwaka 2005 wananchi walikuwa na matumaini makuwa sana na Mgombea Uraisi wa CCM, lakin yeye na chama chake wamefeli vibaya katika haya, laiti wananchi wangekuwa na "option makini inayoaminika" mwaka huu ingekuwa nitolee.
 
Watawezaje kulifanya taifa letu kuwa la kujitegemea wakati wanakumbatia mafisadi. That is impossible!!! Kwa nini watanzania mnadanganyika kirahisi hivyo?
Just imagine, Rais WILBROD SLAA under the remote control ya FREEMAN AIKAELI MBOWE. nchi yote itakuwa sokoni. ni full mauzo. WILBROD SLAA anaweza akawa mtu safi lakini je MBOWE?????? na mbaya zaidi ni kwamba SLAA kwa MBOWE ni kama MBWA kwa CHATU. sijawahi kuona kiongozi kibaraka kama alivyo SLAA KWA MBOWE.
ukiongelea ufisadi,kumbuka unamjumuisha na mwenyekiti wa chadema ambaye anamuendesha SLAA from the remote
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…