Tusiwatege Wasaidizi wetu

Mruhusu atoke nje ila akipata mimba usimrudishe kijijini
Hapana Mkuu tusiwatume kufanya hayo sababu tunapaswa kuwalea na kuwafundisha kama wadogo zetu... lkn pia tusiwanyime haki ya likizo ya kwenda kusalimia majumbani kwao...

Kama ni mimba anaweza pewa huko huko ndani ulipomfungia aidha na mume au mtoto wa kiume au housboy kama unaye....

Ndo maana nimeshauri tuishi nao kwa akili.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…