Tusiwape nafasi vibaraka na makuadi wa mabeberu

nchi iko salama kwa CCM, hivyo hatutegemei naibu katibu mkuu wa UVCCM / usalama wa CCM aseme tofauti.
after all hamna uzalendo wowote zaidi ya kuwa ma opportunist
 
Maelezo yako ndio uhalisia big up ,like hupati,unatakiwa uwe na kifua kipana ,matusi yanakuja ,vibaraka hawakuachi salama
 
Hata hapa kwetu wamekamatwa na upelelezi ukikamilika tutawafikisha mahakamani. Nilitaka kukuonesha uhalifu wa aina hiyo unatokea hata huko mnakoenda kuwapigia stori kuwa Tanzania hakuna usalama
 
Hata hapa kwetu wamekamatwa na upelelezi ukikamilika tutawafikisha mahakamani. Nilitaka kukuonesha uhalifu wa aina hiyo unatokea hata huko mnakoenda kuwapigia stori kuwa Tanzania hakuna usalama
Kwa waliompiga risasi Tundu Lisu hakuna aliyekamatwa hata mmoja kwa taarifa za Polisi. Tafadhali Kama hufahamu kitu usiingize Serikali yetu na CCM yetu kwenye kashfa ya mitandao. Hadi Lisu na Dereva warudi ndio upelelezi uanze. Please keep quite unatutesa watetezi wa JPM.
 
Maelezo yako ndio uhalisia big up ,like hupati,unatakiwa uwe na kifua kipana ,matusi yanakuja ,vibaraka hawakuachi salama
Mwambie atutajie majina ya wahaini wa kiuchumi akieleza aina ya uhaini na kiwango cha hasara tulicho kipata kutokana na huo uhaini. Sote tunaipenda nchi yetu tusemezane kwa uzalendo tujenge taifa letu
 
Una husda tu una hoja... Hao wanaodai Tanzania hakuna usalama na wakimaliza kueleza wanarudi tena kuishi na kula bata katika nchi ambayo haina usalama kwa raia wake wanasema hivyo kwa faida ya nani au ili iweje au wapate nini?
nchi iko salama kwa CCM, hivyo hatutegemei naibu katibu mkuu wa UVCCM / usalama wa CCM aseme tofauti.
after all hamna uzalendo wowote zaidi ya kuwa ma opportunist
 
Mwambie atutajie majina ya wahaini wa kiuchumi akieleza aina ya uhaini na kiwango cha hasara tulicho kipata kutokana na huo uhaini. Sote tunaipenda nchi yetu tusemezane kwa uzalendo tujenge taifa letu
Kakataa kukujibu?
 
Mwambie atutajie majina ya wahaini wa kiuchumi akieleza aina ya uhaini na kiwango cha hasara tulicho kipata kutokana na huo uhaini. Sote tunaipenda nchi yetu tusemezane kwa uzalendo tujenge taifa letu
Unaipenda nchi yako unashabikia haiko salama wakati ulipo unachat na kinywaji baridi pembeni yako huna hofu ndio uzalendo huo. Tujifunze kuisema nchi yetu vizuri hata kama tupo wapi!
 
Una husda tu una hoja... Hao wanaodai Tanzania hakuna usalama na wakimaliza kueleza wanarudi tena kuishi na kula bata katika nchi ambayo haina usalama kwa raia wake wanasema hivyo kwa faida ya nani au ili iweje au wapate nini?
scale ya usama wa nchi sio 'bibary state', kwamba ni either upo au haupo bali ni 'continuos range' kwa maana kwamba kiwango cha usalama kimepungua ukilinganisha na awamu ya 4, swala la watu kuishi hata Yemen kuna watu wanaishi lakini haimaanishi kuwa ni sehemu salama!
 
Upelelezi unaendelea haimaanishi hakuna waliokamatwa utakapokamilika ndipo taarifa kamili mtaipata
 
Upelelezi unaendelea haimaanishi hakuna waliokamatwa utakapokamilika ndipo taarifa kamili mtaipata
Kaka sijui hufahamu ninachoongea. Jinai haishii kabisaa..ila haimaanishi wahusika au washukiwa wameshakamatwa hata mmoja. Taarifa za Polisi zinasema hakuna aliyekamatwa Wala kushilikiliwa na Polisi kuhusiana na kupigwa risasi Lissu. Naomba tufunge mjadala. Huna unalojua bhana mdogo. Tusiwanufaishe wapinzani wetu. Ila kama unaamua kubisha basi endelea tuu ila vijana wetu hatujawafundisha hivyo.
 
Kipi kinakufanya useme usalama umepungua?
 
Una nyodo
 
Muandishi wa huu uzi anamaanisha kwamba
1.Hata Marekani na Uingereza wapo watu wasiojulikana wanaoua na kupoteza watu bila kujulikana
2.Vyombo vya habari nchini vina uhuru kama walio nao CNN,NBS,Sky News n.k huko Marekani na Uingereza
 
Awamu hii vita dhidi ufisadi na ubadhirifu ni ya kudumu na sote ni mashahidi. Wewe mnazi wa kisiasa ndio unajipa upofu na uziwi ili usione au kusikia mazuri yanayofanywa
Naona umeishia kuniita mnazi wa kisiasa. Sasa wewe na mimi nani kaonyesha unazi? Hati sio wazalendo/wasaliti wanalipwa na mabeberu-mkiambiwa mtoe mifano mnakosa majibu. Kufanya mazuri hakukupi tiketi ya kuita wengine wasaliti au wakosa uzalendo. Wewe sifia tu kwa mapambo kile ukipendacho sina tatizo kama ni kweli shida yenu ni kuita watanzania wenzenu wasaliti kisa wana maono tofauti.
 
Kwa Africa mabeberu ni watu weusi. Fikiria serikali ya Mobutu. Nguema, Albashir, Mengistu, Taylor, Mugabe nk. Hawa walisingizia Mabeberu wa nje wakapata uhalali wa kufanya walioyafanya. Unless unafaidika na status Quo
 
Hata hapa kwetu wamekamatwa na upelelezi ukikamilika tutawafikisha mahakamani. Nilitaka kukuonesha uhalifu wa aina hiyo unatokea hata huko mnakoenda kuwapigia stori kuwa Tanzania hakuna usalama

..waliompiga risasi TL wamekamatwa?

..kwanini hawapelekwi mahakamani?

..kuna watuhumiwa wengi wanapelekwa mahakamani lakini uchunguzi wa tuhuma zao haujakamilika 100%.

..kama madai yako kuwa waliompiga risasi Mh.Lissu wamekamatwa ni ya kweli, basi magaidi hao walipaswa kufikishwa mahakamani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…