Tusimpuuze Dr Slaa enyi watanzania

Tusimpuuze Dr Slaa enyi watanzania

Kevoo_keroo

JF-Expert Member
Joined
Aug 18, 2015
Posts
771
Reaction score
163
Kwa msomi yeyote anayefanya Utafiti lazima apate Primary Source na kwa masuala ya Richmond bila Mwenyekiti Mh Mwakyembe ningetoa wapi!!!mimi sio mtu wa kukurupuka ktk utoaji hoja hivyo nilikutana naye wazi bila kificho na ni Uhuru wa kila Mtanzania...Mengi amezungumza hayo ni baadhi, kama una kipengele cha ziada niulize.

Juu ya mzazi mwenzake Rose anawaachia wanawake wenzake wampe maadili ya kuongea hadharani ila mimi nitaendelea kumthamini kama mzazi mwenzangu. Kuhusu watoto anaosema nimewatekekeza wote ni wakubwa wanaojitrgemea niwafanyeje.Nani asiyejua amakutana na Kinana na Kikwete, anatafuta kuongeza dau kwa hoja zisizokuwepo namtakia kila la heri.

Aidha,Rostam badala ya kujibu hoja anatukana waendelee kutukana cha msingi Watanzania wanahitaji majibu.Na magazeti yanayoandikwa ni ya nani? Endeleeni umeme umetudi.

Mwakahaba amesema Lisu hafai kuwa Msemaji wa Chama kama haelewi kinachoendelea-Mshahara alishaacha kupokea,Gari alilirudisha,Walinzi anawalipa mwemnyewe na Serena anajigharamia na kwamba kwa usalama wake hawezi kuchaguliwa mahali pa kukaa.

Pia anasema anamshangaa Mbatia -pilipili usizozila.....yeye ameongelea masuala ya CHADEMA ambako yeye hahusiki nacho inabidi tumfikirie tofauti.

Wanasheria mbalimbali na wasomi kwa nyakati tofauti wamekuwa na mashaka na uwezo wa Tundu Lisu kisheria wakati akijibu hoja za Dr Slaa.

Wamekuwa wakiuliza na kushangaa Wakili Msomi mwenzetu alipokuwa anaongea na mwandishi wa habari wa VOA kwa njia ya simu. Tumeshangazwa na namna ambavyo alijibu maswali ya mwanahabari yule.

Anaposema kuwa Kamati Kuu ilishampitisha Dr Slaa tangu mwezi January na kurudia tena mwezi April, hapa anatoa tena kuwa kuna ubabaishaji wa demokrasia ndani ya CHADEMA kwa kukiukwa kwa katiba ya CHADEMA maana utaratibu wa kumpata mgombea haukufuatwa maana ilipaswa kuwe na uwazi kila mwanachama kugombea kwa kuchukua fomu kisha vikao husika vya chama kupitisha kwa kupiga kura.

Lakini pia anatupa maswali kama tangu mwezi January Slaa alipitishwa na Kamati Kuu, je ni kwanini mwezi July waliitisha mwanachama anayetaka kugombea achukue form ya urais ili hali tayari walikuwa na mgombea tayari?

Hapa wanakosa hoja ya Kusema Lowassa alionewa na mchakato wa kumpata rais ndani ya CCM maana nao walishafanya hayo mapema kama kweli mwenyekiti alifika kikao na majina yake mfukoni.

Pili anaposema kuwa mara baada ya kumpitisha Lowassa Dr Slaa alitupiwa vitu nje na mkewe maaana tatizo ni ufirst lady. Sasa hapa anatupa maswali ya kujiuliza kama Dr Slaa alifukuzwa na mkewe baada ya kunyimwa urais na huku kuna Picha walisambaza wakionyesha wazee wa baraza la wazee CHADEMA wakiwa nyumbani kwa Dr Slaa pamoja na mkewe na kueleza umma kuwa dokta amekubali kurudi kuongeza nguvu UKAWA na kusema kuwa alikuwa anapanga mikakati ya ushindi na kipindi hiko alikuwa likizo, je wazee wale walienda nyumbani kwa Dr Slaa kumwombea msamaha ili mkewe akubali kuendelea kuishi na Dr Slaa?

Kimsingi Lissu alipaswa kujibu hoja zilimtaja yeye na sio kuanza kuongelea privacy za watu, mbona yeye anayo mengi tu anayofanyiwa na mke wake hatusemi?

Kwa mfano Dr Slaa alisema kuwa kulikuwa na kikao cha watu wanne yaani Slaa, Mbowe, Lissu na Gwajima wakibishana kuhusu kama Lowassa ni Assets au Liability kwa CHADEMA?

Sasa Wakili Msomi Lissu alipaswa ama akubali au akanushe uwepo wa kikao hicho.

Na kama kilikuwepo na mazungumzo yalikokuwa yakizungumzwa ni tofauti na aliyosema Slaa atuambie ni mazungumzo yapi ni sahii.

Viongozi wa CHADEMA wakae na kutafakari namna bora ya kumjibu Dr Slaa na wafuasi wao wengi kwa hoja na sio majibu mepesi kwa hoja nzito na sio kutaka kuendelea kuwaburuza wafuasi wao.

EWE MZALENDO WA TAIFA HILI CHUKUA HATUA STAHIKI KATIKA KUCHAGUA KIONGOZI SAHIHI.

BRIEFING YA DR SLAA.

Chanzo: STAR TV.
 
BRIEFING YA DR SLAA
STAR TV;

Kwa msomi yeyote anayefanya Utafiti lazima apate Primary Source na kwa masuala ya Richmond bila Mwenyekiti Mh Mwakyembe ningetoa wapi!!!mimi sio mtu wa kukurupuka ktk utoaji hoja hivyo nilikutana naye wazi bila kificho na ni Uhuru wa kila Mtanzania...Mengi amezungumza hayo ni baadhi....kama una kipengele cha ziada niulize

Juu ya mzazi mwenzake Rose anawaachia wanawake wenzake wampe maadili ya kuongea hadharani ila mimi nitaendelea kumthamini kama mzazi mwenzangu. Kuhusu watoto anaosema nimewatekekeza wote ni wakubwa wanaojitrgemea niwafanyeje.Nani asiyejua amakutana na Kinana na Kikwete...anatafuta kuongeza dau kwa hoja zisizokuwepo namtakia kila la heri

Aidha,Rostam badala ya kujibu hoja anatukana waendelee kutukana cha msingi Watanzania wanahitaji majibu.Na magazeti yanayoandikwa ni ya nani? Endeleeni umeme umetudi

Mwakahaba amesema Lisu hafai kuwa Msemaji wa Chama kama haelewi kinachoendelea-Mshahara alishaacha kupokea,Gari alilirudisha,Walinzi anawalipa mwemnyewe na Serena anajigharamia na kwamba kwa usalama wake hawezi kuchaguliwa mahali pa kukaa.

Pia anasema anamshangaa Mbatia -pilipili usizozila.....yeye ameongelea masuala ya CHADEMA ambako yeye hahusiki nacho inabidi tumfikirie tofauti..

Wanasheria mbalimbali na wasomi kwa nyakati tofauti wamekuwa na mashaka na uwezo wa Tundu Lisu kisheria wakati akijibu hoja za Dr Slaa.

Wamekuwa wakiuliza na kushangaa Wakili Msomi mwenzetu alipokuwa anaongea na mwandishi wa habari wa VOA kwa njia ya simu. Tumeshangazwa na namna ambavyo alijibu maswali ya mwanahabari yule.

Anaposema kuwa Kamati Kuu ilishampitisha Dr Slaa tangu mwezi January na kurudia tena mwezi April, hapa anatoa tena kuwa kuna ubabaishaji wa demokrasia ndani ya CHADEMA kwa kukiukwa kwa katiba ya Chadema maana utaratibu wa kumpata mgombea haukufuatwa maana ilipaswa kuwe na uwazi kila mwanachama kugombea kwa kuchukua fomu kisha vikao husika vya chama kupitisha kwa kupiga kura.

Lakini pia anatupa maswali kama tangu mwezi January Slaa alipitishwa na Kamati Kuu, je ni kwanini mwezi July waliitisha mwanachama anayetaka kugombea achukue form ya urais ili hali tayari walikuwa na mgombea tayari?

Hapa wanakosa hoja ya Kusema Lowassa alionewa na mchakato wa kumpata rais ndani ya CCM maana nao walishafanya hayo mapema kama kweli mwenyekiti alifika kikao na majina yake mfukoni.

Pili anaposema kuwa mara baada ya kumpitisha Lowassa Dr Slaa alitupiwa vitu nje na mkewe maaana tatizo ni ufirst lady. Sasa hapa anatupa maswali ya kujiuliza kama Dr Slaa alifukuzwa na mkewe baada ya kunyimwa urais na huku kuna Picha walisambaza wakionyesha wazee wa baraza la wazee CHADEMA wakiwa nyumbani kwa Dr Slaa pamoja na mkewe na kueleza umma kuwa dokta amekubali kurudi kuongeza nguvu UKAWA na kusema kuwa alikuwa anapanga mikakati ya ushindi na kipindi hiko alikuwa likizo, je wazee wale walienda nyumbani kwa Dr Slaa kumwombea msamaha ili mkewe akubali kuendelea kuishi na Dr Slaa?

Kimsingi Lissu alipaswa kujibu hoja zilimtaja yeye na sio kuanza kuongelea privacy za watu, mbona yeye anayo mengi tu anayofanyiwa na mke wake hatusemi?

Kwa mfano Dr Slaa alisema kuwa kulikuwa na kikao cha watu wanne yaani Slaa, Mbowe, Lissu na Gwajima wakibishana kuhusu kama Lowassa ni Assets au Liability kwa CHADEMA?

Sasa Wakili Msomi Lissu alipaswa ama akubali au akanushe uwepo wa kikao hicho.

Na kama kilikuwepo na mazungumzo yalikokuwa yakizungumzwa ni tofauti na aliyosema Slaa atuambie ni mazungumzo yapi ni sahii.

Viongozi wa CHADEMA wakae na kutafakari namna bora ya kumjibu Dr Slaa na wafuasi wao wengi kwa hoja na sio majibu mepesi kwa hoja nzito na sio kutaka kuendelea kuwaburuza wafuasi wao.

EWE MZALENDO WA TAIFA HILI CHUKUA HATUA STAHIKI KATIKA KUCHAGUA KIONGOZI SAHIHI.

tangu lini ccm mkawa rafki wa slaa?????

kiongozi bora hayupo ccm hata kwa njia gani

slaa ni mbwabwajaji

kumkubali slaa na mipasho yake mpaka uwe taaahira au zuzu kama wew.

haya kachukue buku 7 yako kwa nappe
 
Hata kama Lowassa akijitokeza hadharani akasema" Kweli mimi ni fisadi/mwizi niliiba"
HATUTAKUBALI tutajua AMENUNULIWA!!


Tutampa KURA Hata mfanyeje?
 
Hoja za dr slaa hazina mashiko mtu anakana hadi familia yke isiwe cdm!
 
Jamani kaahidiwa uwaziri kwenye baraza la magufuli na pesa juu lazma aongee ili apate
 
Kuna clip moja ya Mwigulu anaonekana akisema.......Slaa ana mapepo mara saba..........baada ya kuasi kanisa.......
kwa mara ya kwanza nakubaliana na Mwigulu Nchemba..............

hio clip ni ya siku nyingi though my dada
 
Kuna clip moja ya Mwigulu anaonekana akisema.......Slaa ana mapepo mara saba..........baada ya kuasi kanisa.......
kwa mara ya kwanza nakubaliana na Mwigulu Nchemba..............

Preta hata mimi kwa hili nilikubaliana na Mwigulu moja kwa moja
 
ILI NISIMUPUUZEE DR CASSAVA MWAMBIE ANI PM ANIGAWIE MPUNGA NA MIMI NINUNUE JAPO SUZUKI SWIFT VINGINEVYO ANAMPIGIA MBUZI GITAA KICHINJIO NIMEKIWEKA NYUMA YA MLANGO KILA NIKITOKA NAKIBUSU ILA WAZEE WA PANDE NAWAOGOPA sana#
 
Kwa msomi yeyote anayefanya Utafiti lazima apate Primary Source na kwa masuala ya Richmond bila Mwenyekiti Mh Mwakyembe ningetoa wapi!!!mimi sio mtu wa kukurupuka ktk utoaji hoja hivyo nilikutana naye wazi bila kificho na ni Uhuru wa kila Mtanzania...Mengi amezungumza hayo ni baadhi, kama una kipengele cha ziada niulize.

Mimi sio msomi mwenzio, ila mimi ni MTU MWENYE ELIMU.

Ni elimu ndio inanipa tafakuri ya kina kabla sijaliendea jamba, hata kama ni la masihara. Sijui wewe!

Labda nikuulize ndugu msomi mwenzake na Dr. Maslahi, Slaa hajaanza kumzungumzia Lowassa leo, wala Richmond leo, yuko nayo bize kama alivyowahi kuweza kukariri vifungu vya Biblia. Iweje leo ndio atafute PRIMARY SOURCE, ina maana hapo awali alikuwa anabwabwaja tu?

Wakati anashiriki hatua za awali za kumkaribisha Lowassa, alikuwa na doubts 40%, 60% au 100%? Maana kwa elimu yangu ya kumtambua mtu mbabaishaji, Slaa ni mbabaishaji katika hili. Kama alikuwa na mashaka na Lowassa, alikuwa na haja gani hata ya kushiriki huo mchakato?

Kwa kifupi jana Slaa kajiweka wazi 'mimi ni mwanadamu, sina moyo wa jiwe......' akimaanisha, kinachomuongoza kubwabwaja mara Serena, mara Star CCM+ TV ni kuumwa uchungu wa kukosa urais.
 
Kwa msomi yeyote anayefanya Utafiti lazima apate Primary Source na kwa masuala ya Richmond bila Mwenyekiti Mh Mwakyembe ningetoa wapi!!!mimi sio mtu wa kukurupuka ktk utoaji hoja hivyo nilikutana naye wazi bila kificho na ni Uhuru wa kila Mtanzania...Mengi amezungumza hayo ni baadhi, kama una kipengele cha ziada niulize.

Juu ya mzazi mwenzake Rose anawaachia wanawake wenzake wampe maadili ya kuongea hadharani ila mimi nitaendelea kumthamini kama mzazi mwenzangu. Kuhusu watoto anaosema nimewatekekeza wote ni wakubwa wanaojitrgemea niwafanyeje.Nani asiyejua amakutana na Kinana na Kikwete, anatafuta kuongeza dau kwa hoja zisizokuwepo namtakia kila la heri.

Aidha,Rostam badala ya kujibu hoja anatukana waendelee kutukana cha msingi Watanzania wanahitaji majibu.Na magazeti yanayoandikwa ni ya nani? Endeleeni umeme umetudi.

Mwakahaba amesema Lisu hafai kuwa Msemaji wa Chama kama haelewi kinachoendelea-Mshahara alishaacha kupokea,Gari alilirudisha,Walinzi anawalipa mwemnyewe na Serena anajigharamia na kwamba kwa usalama wake hawezi kuchaguliwa mahali pa kukaa.

Pia anasema anamshangaa Mbatia -pilipili usizozila.....yeye ameongelea masuala ya CHADEMA ambako yeye hahusiki nacho inabidi tumfikirie tofauti.

Wanasheria mbalimbali na wasomi kwa nyakati tofauti wamekuwa na mashaka na uwezo wa Tundu Lisu kisheria wakati akijibu hoja za Dr Slaa.

Wamekuwa wakiuliza na kushangaa Wakili Msomi mwenzetu alipokuwa anaongea na mwandishi wa habari wa VOA kwa njia ya simu. Tumeshangazwa na namna ambavyo alijibu maswali ya mwanahabari yule.

Anaposema kuwa Kamati Kuu ilishampitisha Dr Slaa tangu mwezi January na kurudia tena mwezi April, hapa anatoa tena kuwa kuna ubabaishaji wa demokrasia ndani ya CHADEMA kwa kukiukwa kwa katiba ya CHADEMA maana utaratibu wa kumpata mgombea haukufuatwa maana ilipaswa kuwe na uwazi kila mwanachama kugombea kwa kuchukua fomu kisha vikao husika vya chama kupitisha kwa kupiga kura.

Lakini pia anatupa maswali kama tangu mwezi January Slaa alipitishwa na Kamati Kuu, je ni kwanini mwezi July waliitisha mwanachama anayetaka kugombea achukue form ya urais ili hali tayari walikuwa na mgombea tayari?

Hapa wanakosa hoja ya Kusema Lowassa alionewa na mchakato wa kumpata rais ndani ya CCM maana nao walishafanya hayo mapema kama kweli mwenyekiti alifika kikao na majina yake mfukoni.

Pili anaposema kuwa mara baada ya kumpitisha Lowassa Dr Slaa alitupiwa vitu nje na mkewe maaana tatizo ni ufirst lady. Sasa hapa anatupa maswali ya kujiuliza kama Dr Slaa alifukuzwa na mkewe baada ya kunyimwa urais na huku kuna Picha walisambaza wakionyesha wazee wa baraza la wazee CHADEMA wakiwa nyumbani kwa Dr Slaa pamoja na mkewe na kueleza umma kuwa dokta amekubali kurudi kuongeza nguvu UKAWA na kusema kuwa alikuwa anapanga mikakati ya ushindi na kipindi hiko alikuwa likizo, je wazee wale walienda nyumbani kwa Dr Slaa kumwombea msamaha ili mkewe akubali kuendelea kuishi na Dr Slaa?

Kimsingi Lissu alipaswa kujibu hoja zilimtaja yeye na sio kuanza kuongelea privacy za watu, mbona yeye anayo mengi tu anayofanyiwa na mke wake hatusemi?

Kwa mfano Dr Slaa alisema kuwa kulikuwa na kikao cha watu wanne yaani Slaa, Mbowe, Lissu na Gwajima wakibishana kuhusu kama Lowassa ni Assets au Liability kwa CHADEMA?

Sasa Wakili Msomi Lissu alipaswa ama akubali au akanushe uwepo wa kikao hicho.

Na kama kilikuwepo na mazungumzo yalikokuwa yakizungumzwa ni tofauti na aliyosema Slaa atuambie ni mazungumzo yapi ni sahii.

Viongozi wa CHADEMA wakae na kutafakari namna bora ya kumjibu Dr Slaa na wafuasi wao wengi kwa hoja na sio majibu mepesi kwa hoja nzito na sio kutaka kuendelea kuwaburuza wafuasi wao.

EWE MZALENDO WA TAIFA HILI CHUKUA HATUA STAHIKI KATIKA KUCHAGUA KIONGOZI SAHIHI.

BRIEFING YA DR SLAA.

Chanzo: STAR TV.

hata azunguke nyumba kwa nyumba kutangaza lowasa fisadi haimsaidii tena tunajua babu umelamba mpunga,sasa na mkewe atafanyiziwa na kina gulu chemba
 
Dr. Slaa ashageuka kuwa padri mla nyama za watu, na nyinyi mnaomtetea sasa hivi iko siku mtakua kitoweo chake
 
Ni kweli ni fisadi lakini tumeshamsamehe..........harudii tena........

Hata kama Lowassa akijitokeza hadharani akasema" Kweli mimi ni fisadi/mwizi niliiba"
HATUTAKUBALI tutajua AMENUNULIWA!!


Tutampa KURA Hata mfanyeje?
 
Lowassa hakuwahi kuiba hata senti tano ya Taifa hili.
Mwenye ushahidi wa wizi wa Lowassa aende mahakamani.!!!
 
Back
Top Bottom