Tusiime school!!!ushauri please!


dah itabidi nikutafute
 
Kijana kwa misingi ya elimu bora kwa kijana wako nakushauri umpeleke mikoani huko hususani mkoa wa SHINYAGA katika wilaya ya KAHAMA shule bora kwa MALEZI na TAALUMA inaitwa ROCKEN HILL PRIMARY SCHOOL,P1702064.
 
Kijana kwa ELIMU/TAALUMA bora, safi na MALEZI ya kimaadili,kimwili na kiroho kwa shule za msingi na sekondari zinapatikana mikoani,Nakushauri kijana wako mpendwa umpeleke mkoani SHINYANGA,wilaya ya KAHAMA katika shule bora kitaifa kwa miaka minne mfululizi iitwayo ROCKEN HILL PRIMARY SCHOOL P1702064.
 
Mpeleke tusiime mi nmesoma pale nmeona watoto wanavosoma na ratiba nzuri na pia wanafaulu sana na mwaka huu imekuwa ya pili kitaifa
 
Jaribu Genius King au Christ The King. Tusiime ada yao kubwaa then wengi ni wahaya
 

Ada bei gani?
 

Mpeleke international school of Tanganyika ! Huko hakuna kihaya wala lolongo longo za kibongo !
 
Tumefikia hapo sababu ya ccm kuharibu elimu yetu.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…