cio vizuri kumdharau mtu bz ni mlinzi kwanza utakuta mtu mwingne ni customer care wa kampuni za simu eti unamdharau mlinzi kua analipwa hela ndogo bila kujua anakuzidi hata wewe graduate kwa mshahara.... Jua kwamba kampuni kama kk, g4s, secur.group mwenye rank ya chini analipwa 250,000-300000 ukija kwa supervisor, site commander na zone manager wamekuacha ile mbaya kwa pay so zarau haifai