BilioneaPATIGOO
JF-Expert Member
- Jun 23, 2012
- 12,320
- 11,345
Habari...naomba tushirikishane,je mikoa ipi/ wilaya zipi nzuri kwa kufanya biashara. Ondoa Dar.
Na pia naomba mwenye ile chati inayoonesha data za hali ya uchumi kwa kila mkoa.
Asanteni na karibuni.
Na pia naomba mwenye ile chati inayoonesha data za hali ya uchumi kwa kila mkoa.
Asanteni na karibuni.