Suleiman Mfua
Member
- Feb 27, 2014
- 62
- 64
MUHIMU:
Tofauti zetu za kisiasa hazituondolei uhalali wa kushirikiana katika maswala muhimu ya kijamii yanayotuhusu.
Kila mmoja wetu anapaswa kutambua kua umoja wetu, upendo wetu na amani ya nchi yetu ni kitu muhimu sana kuliko misimamo tuliyonayo katika taasisi zetu za kisiasa.
Tushindane kwa hoja zenye kulijenga taifa letu, na kamwe tusikubali yeyote atugawe katika misingi ya kisiasa na kuharibu umoja na mshikamano wetu!
[HASHTAG]#TanzaniaKwanza[/HASHTAG]
Mfua Suleiman
Kibaha- Pwani
Tofauti zetu za kisiasa hazituondolei uhalali wa kushirikiana katika maswala muhimu ya kijamii yanayotuhusu.
Kila mmoja wetu anapaswa kutambua kua umoja wetu, upendo wetu na amani ya nchi yetu ni kitu muhimu sana kuliko misimamo tuliyonayo katika taasisi zetu za kisiasa.
Tushindane kwa hoja zenye kulijenga taifa letu, na kamwe tusikubali yeyote atugawe katika misingi ya kisiasa na kuharibu umoja na mshikamano wetu!
[HASHTAG]#TanzaniaKwanza[/HASHTAG]
Mfua Suleiman
Kibaha- Pwani