Tushauriane wana MMU


Hapo nimekuelewa ushauri mzuri
 
Last edited by a moderator:
Tupunguze Tu Maneno Machafu Lakin Comment Za Kufurahisha N Muhmu, Huwez Kuongea Point Na Usome Point Tupu Tutakua Stresd, Na Kama Bas Hupend Ni Vema Ukasome Huko Kwa Bible Na Siasa Tupu,
 

Do you have any critical thought for calling me??

Btw, your arguements are very light.....

Changes should begin with you shy man...
 
Heshima ndio nini sasa sina unafki mimi sio muimba taarab nizunguke usipomwambia inamaanisha unaogopa watu humu..

Nafuata sheria za Jf
 
Tupunguze Tu Maneno Machafu Lakin Comment Za Kufurahisha N Muhmu, Huwez Kuongea Point Na Usome Point Tupu Tutakua Stresd, Na Kama Bas Hupend Ni Vema Ukasome Huko Kwa Bible Na Siasa Tupu,

kila mtu mwenye akili katika ubongo wake lazima asome hapa nakuyafanyia kazi.
 
Yani umenichekesha balaaa

unacheka, subiri nikuambie kitu ambacho hukiju kuhusu mimi.

hakuna kitu kizuri hapa dunian kama furaha, na watu wote unaowana wanafanya kazi au shughuli yoyote, lengo lao kuu ni kuisaka furaha.

mimi huwanga nafurahi sana kuona watu wanahaha na kukeleka sababu ameona komenti baya jf.

unamkuta mtu ameandika ameuzika sana, basi watu kama hao ni furaha kwangu.
 

Sasa mbona kama sijakuelewa?Sasa kipi hapo kipya?
 
Nafuata sheria za Jf

unajua sheria wewe ??
sheria gani nimevunja ??
Tatizo letu watanzania hatuwezi kuhandle the truth ndio maana tunadanganywa danganywa ukiambiwa ukweli umevunja sheria isiyojulikana
 
unajua sheria wewe ??
sheria gani nimevunja ??
Tatizo letu watanzania hatuwezi kuhandle the truth ndio maana tunadanganywa danganywa ukiambiwa ukweli umevunja sheria isiyojulikana

Achana naye hajitambui, mtu kusema ukweli amevuja sheria?

shatapu taipu kabisa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…