Tushauriane: Mchepuko kamuweka selo Mke wa jamaa

Aah sema nimegundua wanawake kweli hampendani, mda mwingine naona kweli dunia haiko sawa kwa hawa viumbe wenzetu, ingekua ndo mwanamke kafanya hayo hadi kwenye nyumba icho kikao kisingekuepo angepigwa kama sio kuuliwa nakoo pande zote wangemtenga na kumwona MNYAMA NA SHETANI ila kwa kua ni mwamaume ye ndo kafanya et ndo vikao vya kuwekwa sawa na mwanaume yupo huru kuchua maamuzi!!!!

all n all ndo maana nawakubali wanawake wakichagga(baadhi) ukiona mwanaume ndani anarukaruka unampeleka next life chap alafu unabaki na mali unarithisha wanao wale haki zao kwa raha kama kulikua na michepuko inamdangia mume wake basi itabidi ikamdangie kaburini uko.

Kama iko kisa nichakweli inabidi mwanaume anyangaywe hati zote na mali zisimamiwe na mwanamke kwajili ya watoto, ndoa ivunjwe, mwanamke awe huru na mali na wototo then atafute mume bora kwake mwingine akae nae walee watoto na waendeshe maisha, uyo mwanaume ye aende kwamchepuko walee familia kwa raha zao pia since washahujumu uchumi wa familia wamepata nyumba ni mwanzo mzuri ili mchepuko asilalamike so aolewe kabisa na uyo mwanaume wajiachie.

Ila nwombea uyo mwanamke ikiwa ivo na mali akabaki nazo apate mwanaume kama kina sis MAUNCLE SHAMTE wenyewe hatuwazi sana kutafuta ela ila kazi yetu nikutabasamu, kukupa furaha, ushauri na kukupelekea moto baasihatuchiti maana tunghalamikiwa.[mention]DeepPond [/mention]
Hapo kwenye wanawake wa kichaga sikuafiki kabisa mkuu
 
Yaani micheps imevurugwa sio poa, inamtetea mchep mwenzao haha, noma sana!
Ukiwa mchepuko unatakiwa ukae kwa kutulia hakuna popote utakapoonewa huruma maana waiba vya watu wewe ni wa kufichwa na kulaaniwa isipokuwa bwana wako,, Sasa hii jeuri ya kumchokonoa maza house wanaipata wapi!!! Kuna wanawake hawajui kula na kipofu kabisa
 
Iko hivi,

Nna jamaa yangu mmoja wa karibu hasa kwenye maswala ya biashara,familia,viwanja vya starehe na huzuni Hadi kwenye mambo ya Michepuko huwa hatufichani.

Sasa jamaa yangu ana Mchepuko wake mmoja ila Ni single mother (keshazalishwa mtoto mmoja kabla) Yuko kwenye 36 hivi na Wana mwaka wa pili sasa kwenye mahusiano yao.

Katika heka heka za hapa na pale jamaa kajikuta kampa mimba Mchepuko wake yule. Kwa huruma ya jamaa na mazingira aliyokua akiishi mwanamke yule ikabd jamaa akamnunulie nyumba kigamboni na amhamishie kule Ili awe mbali kdg kwa ajili ya usiri.

Mimba ilivozidi kua kubwa Mchepuko na jamaa wakawa na maugomvi yasiyoisha kila mara, nakwenda nawasuluhisha maisha yanaendelea.

Ikafika kipind Mchepuko yule akawa analeta malalamiko sana kwangu kwamba jamaa ni kama kamtelekeza kusudi kule kigamboni, hatoi Tena matunzo kama zamani yaani Ni mpk wagombane Sana ndo jamaa anatoa hela.Nikamwambia nitaongea nae.

Ktk kuongea jamaa,
Akasema matunzo anatoa,Sema Hali Ni ngumu utoaji kweli mdg sio Kama zaman. Na mwanamke mwenyewe Ni Kama hataki kumuelewa. Nikamwambia zitakua ishu za mimba yake, nenda nae mdg mdg ataelewa.

Nakumbuka Mwez wa 6 MKE halali wa jamaa alinifata na kuniomba nimsaidie namna ya kutrac Simu ya mumewe, nikamuuliza kunani shemeji mpk umpeleleze mumeo.

Akasema kaskia mumewe ana mwanamke mwingine na kamjengea nyumba. Nikamtuliza na kumwambia Mimi kutrac simu ya jamaa siwez maana Ni iphone,ila nimtoe tu shaka kua anachokiwaza hakipo. Kwanza mumeo bahili Sana,kijiweni wote tunamjua.

Hela ya kuhonga mwanamke wa nje, amjengee na nyumba mumeo Hana, kua na amani kabisa shemeji.
Akanambia "Basi shemej usipuuze, wee ndo uko nae karibu sana nisaidie kumchunguza vizur mme Wangu, afu Kama Kuna chochote utanijuza" nikasema "sawa, ntamchunguza"

Bas Nikarudi kwa jamaa nikamwambia awe makini Sana kwenye nyendo zake,mkewe keshaanza mstukia.
Na Mimi rasmi ndo nmepewa rungu la kukuchunguza.

Tujitahidi nisije vunja uaminifu kwa shemej, wote tukaonekana vitombi maana shemej akiskia uko na Mimi Basi kwake Ni amani tele. Jamaa akasema "sawa"

Sasa ijumaa Niko kazini Mchepuko wa jamaa akanipigia kwamba kaenda clinic kakutwa na damu ndogo mwilini, kwaiyo kapewa kitanda apumzike na aongezewe damu. Ana siku ya pili pale. Ila Changamoto kila akimpigia jamaa amtumie Ela alipe bill aruhusiwe kutoka jamaa hapokei Simu na anaikata.

Nikamuuliza kwani sh ngapi unadaiwa? Akasema elfu 35, Basi nikamtumia 40 tigopesa Kisha nikampigia jamaa kujua imekuaje Mchepuko wake kalazwa na pale Hana ela.
Jamaa akanambia kwa kifupi
"Kaka, achana na uyo mwanamke, Ni mpumbavu Sana" nikamuuliza kivipi.
Jamaa akarudia tena,
"Nmesema achana na uyo mwanamke, Ni mpumbavu sana" Akakata simu

Basi nikajiongeza kua hawa washazinguana maana jamaa yangu Ni mwepesi Sana wa hasira,afu mwanamke mwnyw Hali ya mjamzito yule.
Basi ni tafrani tupu. nikawapotezea.

Jumamosi asbh Kanipigia akiniuliza Kama jana Yake niliongea na jamaa, nikamwambia niliongea nae ila Inaonekana Yuko safarini mtandao ukawa hauko vizr hivyo hatukuelewana. Nikiwa na nafas ntaongea nae Tena. Akasema sawa ila
mpk sahv hamna chochote ndani na jamaa hapokei sim yake. Nikamwambia kakope maduka ya jiran,jamaa akirud atalipa.

Akasema alikofikia hakopi Tena madeni.
Ikifika jioni jamaa hajatuma Ela ya matumizi, ataenda kufata matumizi Moja kwa moja dukani kwa mkewe (MKE wa jamaa anaduka la vyakula na nafaka) Hawez kulea kuiumbe chake kwa mateso namna ile.
Nikacheka Sana na kisha Nikamwambia "utakua utoto huo" nikamkatisha nikamwambia tutawasiliana baadae, akasema "sawa"

Sasa jumatatu mida ya jioni mwanamke yule Kanipigia kuulizia mrejesho, nikamwambia sijaongea na jamaa bado. Akanambia Jana yake alienda kuchukua posho ya kula kwenye duka la MKE wa jamaa. Nikamwambia "huwez kua serious".

Akasema serious kaenda pale dukan kamkuta kijana ila mwanamke hayupo na kaomba apimiwe mchele kilo 10,sembe kilo 5, ulezi kilo 1, karanga nusu, mahindi kilo 2 na soya nusu.
Alipoulizwa "PESA" akamjibu kijana kwamba amwambie mama mwenye duka kua MKE mdg ndie aliekuja kuchukua vitu hivyo na namba yake ya Simu akamuachia. Akifika ampigie.

Anasema kabla hata hajafika nyumbani, Simu yake ikaita MKE wa jamaa akamsihi arudi dukani kwa Nia njema ili amfahamu tu. Hana tatizo nae kabisa wayaongee.
Ndipo karudi Kisha akamsimulia A-Z ya mahusiano yao mpk pale alipo pata na mimba ya jamaa.

Pale pale MKE wa jamaa akampigia jamaa na kumuuliza khs Iyo ishu, ila anashangaa jamaa kamkana katakata kwamba Hana mwanamke nje yyt mwenye mimba yake nje na yeye hamjui.
Nikamjibu kuA
"Umekosea Sana, hata ningekua Mimi lazima ningekukana tu. Kama Ni kweli unayosema Basi jua meji Umeharibu Sana. Tena umetengeneza bomu kubwa mno. Sijapenda kabisa"

Akasema
"sikua na jinsi, yeye kajifanya mbabe nami acha nimkomeshe. Angenihudumia yasingefika huko"

"Mie Siwez kufa njaa nna kiumbe chake tumboni, angejua asingemwagia ndani"
Basi nikamkatisha mchepuko na kumpigia jamaa.

Jamaa akaniomba Kama naweza niende kwake MDA huo, kwny Simu hatuwez kuongea tukaelewana.
Basi nmefika kwa jamaa nakuta kikao kizito Cha wanafamilia, ba mkwe wa jamaa (bamdg wa mke wake) kaitwa na ndio mwenyekiti. MKE wa jamaa kafura Sana, jamaa kawa mpole.

Nilipopewa nafas ya kuzungumza,
Ikabd niwe upande wa jamaa,
Nikasema huyo mwanamke atakua shangingi TU wa mjini katumwa kuvuruga ndoa yao. Hakuna mwanamke mpumbavu atamwendea mke wa mtu kwa approach hiyo.
Mkigombana mkaachana iyo ndo itakua furaha Yao. Jamaa yangu namjua sana, Kama ingekua kweli basi ningeshajua zaman. Hana mwanamke mwngn zaidi ya mkewe.
Kwa Maneno Yale, kuna utulivu ukarejea pale. Bamkwe akawasihi wana ndoa watulie Ni majaribu TU hayo,kisha tusiohusika tukarud majumban mwetu.

Jana mchana Mchepuko wa jamaa akanipigia kulazwa hospitali, nikamuuliza
"vipi umelazwa Tena, damu imepungua tena? "

Akasema
"hapana, Ni mke wa rafki yako kanifata nyumban kwangu kanipiga sana na kaning'ata sikio limevuja nimelazwa wamenishona na nyuzi mbili. Na tumbo limeumia Sana na Hii mimba sidhan Kama iko salama"

Nikamuuliza "imekuaje kuaje kwani",
Akasema MKE wa jamaa asbh yake alimpigia kwa Nia njema akisema ana maongez nae, kwaiyo ndo nikamuelekeza Hadi kigamboni kwangu. Gafla akafika na shoga yake wakaanza nitukana wakisema Mimi Ni Malaya mdandia waume za watu nilipe pesa za vile vyakula dukan, nikasema silipi ndo wakanipiga mpk nmelazwa hospital.

Nikamwambia sio kichaa yule hawez kukuvamia TU bila sababu, Kuna namna mmejibizana. Ndo mkapigana.

Sijakaa sawa Simu ya jamaa inaingia,
Ananambia ananiomba nifike kituoni Kuna tatizo.Nikasema POA, ila Moyoni nishajua itakua ndo Ile kesi ya huyu mchepuko wake kupigwa. Chap nikaenda.

Nmefika kituoni maaskali wanafoka balaa, MKE wa jamaa na shoga yake wamewekwa ndani.
Tukafanya mchakato wa dhamana wakakataa kwamba aliepigwa na kung'atwa sikio Ni mjamzito, mpk wapate uhakika wa afya yake kwanza ndo wataruhusiwa. Ukizingatia kafatwa na kushambuliwa nyumbn kwake. Maana ake MKE wa jamaa na shoga yake walijipanga na walipania kumshambulia.
This is criminal case. Basi Ikawa ngumu kuwatoa.

MKE wa jamaa kalala kituoni jana,
Leo asbh tumeenda Tena kituoni kumuwekea dhamana mke wa jamaaa, maaskali wanakomaa kwamba mpk afya Ya mwanamke yule itengamae. Akifa kesi itawageukia.
Basi nikaona hapa Ni kucheza na yule Mchepuko maana ndie alieshika makali.

Nmejishusha sana
Nmemtafuta mchepuko wa jamaa kumsihi amalize ile kesi wakayaongee, amtoe MKE wa jamaa.
Mchepuko anajiliza TU anasema mpk vipimo vyote vikamilike anahisi kwa kipigo kile mimba yake imekaa vibaya.

Mpk MDA huu Niko kituoni na jamaa,
Vichwa vimewaza mpk vimechoka sijui tunafayaje kulimaliza hili.

Sijajua MKE wa jamaa akitoka ndani itakuaje, maana analia TU kwa hasira. kwa maongez ya shemej uko lokapu anasema katika ugomvi ule Mchepuko alimtambishia kua nyumba ile kanunuliwa na jamaa (Ni kweli jamaa alimnunulia).
Afu mke analalamika kua jamaa kagoma kuwajegea wazazi wake uko kijijini, kaenda kumjengea Mchepuko wake.
HILI NI BALAA JINGINE hili.

Nikarud kwa jamaa Nikamuuliza
"Inakuaje sasa mpk mmefika huku,
Hili naweza kukulaumu Wewe maana malalamiko ya Mchepuko yule tangu mwanzo Ni hutoi matunzo. Japo ana mimba ila Ungeishi nae kwa akili sidhan kaa mngefika uko"

Jamaa akanambia kisa Cha kuacha kutoa matunzo kwake Ni kitendo Cha kwenda Mara 3 pale kwake na kumkuta baba wa mtoto yule wa kwanza wa mwanamke yule nyumbani kwake. Na Mara mbili keshamkuta sebleni.

Akamuuliza mchepuko
jamaa yule kafata Nini pale hadi anakaa sebleni kwangu na tangu mwanzo ulishasema alikuzalisha akakutelekeza na mmeshaachana, mchepuko anajitetea kua jamaa walisha-achana ila Kaja kumuangalia tu mtoto wake.

Jamaa anasema akamkanya kua hataki Tena kumuona jamaa yule pale,
Kisha Mara ya 3 ndo alipokuja akamkuta jamaa seblen kakaa kwenye sofa na mwanae anakunywa Hadi juice na ndiz za kukaanga kwa posho aliyomwachia mwanamke yule.

Ndipo alipositisha kutoa huduma rasmi na kumwambia mwanamke yule kua huyu jamaa unaemng'ang'ania sana ndo huyo huyo akuhudumie rasmi.

Ikawa Ndo chanzo Cha chokochoko zote zilikoanzia.

Duh! Nikashangaa Sana
maana kwenye magomvi yao Mchepuko yule hakuwai kunambia vitu Kama vile.

Anyway,
Turudi kwa jamaa, Mchepuko wake, mke wake na ndoa Yao kiujumla. TUNALIWEKAJE HILI mambo yawe sawa.

HEBU Tushauriane hapa wakuu
Huyo mchepuko mpumbavu sana na ndiye aliyeharibu,Jamaa ahakikishe HATI YAKE YA NYUMBA AWE NAYO ASIMPE HUYO MWANAMKE MCHEPUKO MPUMBAVU,MTU ANAKUNUNULIA MPAKA NYUMBA ILI UTULIE,WEWE UNALETA KAPUMBAVU KAKO NDANI UNAKAPA NA CHAKULA,PUMBAVU SANA HUYO MWANAMKE,KWA KUKOSA HUKO AKILI JAMAA AACHANE NAYE.BAADA YA UZAZI KUMALIZIKA SALAMA.
 
Iko hivi,

Nna jamaa yangu mmoja wa karibu hasa kwenye maswala ya biashara,familia,viwanja vya starehe na huzuni Hadi kwenye mambo ya Michepuko huwa hatufichani.

Sasa jamaa yangu ana Mchepuko wake mmoja ila Ni single mother (keshazalishwa mtoto mmoja kabla) Yuko kwenye 36 hivi na Wana mwaka wa pili sasa kwenye mahusiano yao.

Katika heka heka za hapa na pale jamaa kajikuta kampa mimba Mchepuko wake yule. Kwa huruma ya jamaa na mazingira aliyokua akiishi mwanamke yule ikabd jamaa akamnunulie nyumba kigamboni na amhamishie kule Ili awe mbali kdg kwa ajili ya usiri.

Mimba ilivozidi kua kubwa Mchepuko na jamaa wakawa na maugomvi yasiyoisha kila mara, nakwenda nawasuluhisha maisha yanaendelea.

Ikafika kipind Mchepuko yule akawa analeta malalamiko sana kwangu kwamba jamaa ni kama kamtelekeza kusudi kule kigamboni, hatoi Tena matunzo kama zamani yaani Ni mpk wagombane Sana ndo jamaa anatoa hela.Nikamwambia nitaongea nae.

Ktk kuongea jamaa,
Akasema matunzo anatoa,Sema Hali Ni ngumu utoaji kweli mdg sio Kama zaman. Na mwanamke mwenyewe Ni Kama hataki kumuelewa. Nikamwambia zitakua ishu za mimba yake, nenda nae mdg mdg ataelewa.

Nakumbuka Mwez wa 6 MKE halali wa jamaa alinifata na kuniomba nimsaidie namna ya kutrac Simu ya mumewe, nikamuuliza kunani shemeji mpk umpeleleze mumeo.

Akasema kaskia mumewe ana mwanamke mwingine na kamjengea nyumba. Nikamtuliza na kumwambia Mimi kutrac simu ya jamaa siwez maana Ni iphone,ila nimtoe tu shaka kua anachokiwaza hakipo. Kwanza mumeo bahili Sana,kijiweni wote tunamjua.

Hela ya kuhonga mwanamke wa nje, amjengee na nyumba mumeo Hana, kua na amani kabisa shemeji.
Akanambia "Basi shemej usipuuze, wee ndo uko nae karibu sana nisaidie kumchunguza vizur mme Wangu, afu Kama Kuna chochote utanijuza" nikasema "sawa, ntamchunguza"

Bas Nikarudi kwa jamaa nikamwambia awe makini Sana kwenye nyendo zake,mkewe keshaanza mstukia.
Na Mimi rasmi ndo nmepewa rungu la kukuchunguza.

Tujitahidi nisije vunja uaminifu kwa shemej, wote tukaonekana vitombi maana shemej akiskia uko na Mimi Basi kwake Ni amani tele. Jamaa akasema "sawa"

Sasa ijumaa Niko kazini Mchepuko wa jamaa akanipigia kwamba kaenda clinic kakutwa na damu ndogo mwilini, kwaiyo kapewa kitanda apumzike na aongezewe damu. Ana siku ya pili pale. Ila Changamoto kila akimpigia jamaa amtumie Ela alipe bill aruhusiwe kutoka jamaa hapokei Simu na anaikata.

Nikamuuliza kwani sh ngapi unadaiwa? Akasema elfu 35, Basi nikamtumia 40 tigopesa Kisha nikampigia jamaa kujua imekuaje Mchepuko wake kalazwa na pale Hana ela.
Jamaa akanambia kwa kifupi
"Kaka, achana na uyo mwanamke, Ni mpumbavu Sana" nikamuuliza kivipi.
Jamaa akarudia tena,
"Nmesema achana na uyo mwanamke, Ni mpumbavu sana" Akakata simu

Basi nikajiongeza kua hawa washazinguana maana jamaa yangu Ni mwepesi Sana wa hasira,afu mwanamke mwnyw Hali ya mjamzito yule.
Basi ni tafrani tupu. nikawapotezea.

Jumamosi asbh Kanipigia akiniuliza Kama jana Yake niliongea na jamaa, nikamwambia niliongea nae ila Inaonekana Yuko safarini mtandao ukawa hauko vizr hivyo hatukuelewana. Nikiwa na nafas ntaongea nae Tena. Akasema sawa ila
mpk sahv hamna chochote ndani na jamaa hapokei sim yake. Nikamwambia kakope maduka ya jiran,jamaa akirud atalipa.

Akasema alikofikia hakopi Tena madeni.
Ikifika jioni jamaa hajatuma Ela ya matumizi, ataenda kufata matumizi Moja kwa moja dukani kwa mkewe (MKE wa jamaa anaduka la vyakula na nafaka) Hawez kulea kuiumbe chake kwa mateso namna ile.
Nikacheka Sana na kisha Nikamwambia "utakua utoto huo" nikamkatisha nikamwambia tutawasiliana baadae, akasema "sawa"

Sasa jumatatu mida ya jioni mwanamke yule Kanipigia kuulizia mrejesho, nikamwambia sijaongea na jamaa bado. Akanambia Jana yake alienda kuchukua posho ya kula kwenye duka la MKE wa jamaa. Nikamwambia "huwez kua serious".

Akasema serious kaenda pale dukan kamkuta kijana ila mwanamke hayupo na kaomba apimiwe mchele kilo 10,sembe kilo 5, ulezi kilo 1, karanga nusu, mahindi kilo 2 na soya nusu.
Alipoulizwa "PESA" akamjibu kijana kwamba amwambie mama mwenye duka kua MKE mdg ndie aliekuja kuchukua vitu hivyo na namba yake ya Simu akamuachia. Akifika ampigie.

Anasema kabla hata hajafika nyumbani, Simu yake ikaita MKE wa jamaa akamsihi arudi dukani kwa Nia njema ili amfahamu tu. Hana tatizo nae kabisa wayaongee.
Ndipo karudi Kisha akamsimulia A-Z ya mahusiano yao mpk pale alipo pata na mimba ya jamaa.

Pale pale MKE wa jamaa akampigia jamaa na kumuuliza khs Iyo ishu, ila anashangaa jamaa kamkana katakata kwamba Hana mwanamke nje yyt mwenye mimba yake nje na yeye hamjui.
Nikamjibu kuA
"Umekosea Sana, hata ningekua Mimi lazima ningekukana tu. Kama Ni kweli unayosema Basi jua meji Umeharibu Sana. Tena umetengeneza bomu kubwa mno. Sijapenda kabisa"

Akasema
"sikua na jinsi, yeye kajifanya mbabe nami acha nimkomeshe. Angenihudumia yasingefika huko"

"Mie Siwez kufa njaa nna kiumbe chake tumboni, angejua asingemwagia ndani"
Basi nikamkatisha mchepuko na kumpigia jamaa.

Jamaa akaniomba Kama naweza niende kwake MDA huo, kwny Simu hatuwez kuongea tukaelewana.
Basi nmefika kwa jamaa nakuta kikao kizito Cha wanafamilia, ba mkwe wa jamaa (bamdg wa mke wake) kaitwa na ndio mwenyekiti. MKE wa jamaa kafura Sana, jamaa kawa mpole.

Nilipopewa nafas ya kuzungumza,
Ikabd niwe upande wa jamaa,
Nikasema huyo mwanamke atakua shangingi TU wa mjini katumwa kuvuruga ndoa yao. Hakuna mwanamke mpumbavu atamwendea mke wa mtu kwa approach hiyo.
Mkigombana mkaachana iyo ndo itakua furaha Yao. Jamaa yangu namjua sana, Kama ingekua kweli basi ningeshajua zaman. Hana mwanamke mwngn zaidi ya mkewe.
Kwa Maneno Yale, kuna utulivu ukarejea pale. Bamkwe akawasihi wana ndoa watulie Ni majaribu TU hayo,kisha tusiohusika tukarud majumban mwetu.

Jana mchana Mchepuko wa jamaa akanipigia kulazwa hospitali, nikamuuliza
"vipi umelazwa Tena, damu imepungua tena? "

Akasema
"hapana, Ni mke wa rafki yako kanifata nyumban kwangu kanipiga sana na kaning'ata sikio limevuja nimelazwa wamenishona na nyuzi mbili. Na tumbo limeumia Sana na Hii mimba sidhan Kama iko salama"

Nikamuuliza "imekuaje kuaje kwani",
Akasema MKE wa jamaa asbh yake alimpigia kwa Nia njema akisema ana maongez nae, kwaiyo ndo nikamuelekeza Hadi kigamboni kwangu. Gafla akafika na shoga yake wakaanza nitukana wakisema Mimi Ni Malaya mdandia waume za watu nilipe pesa za vile vyakula dukan, nikasema silipi ndo wakanipiga mpk nmelazwa hospital.

Nikamwambia sio kichaa yule hawez kukuvamia TU bila sababu, Kuna namna mmejibizana. Ndo mkapigana.

Sijakaa sawa Simu ya jamaa inaingia,
Ananambia ananiomba nifike kituoni Kuna tatizo.Nikasema POA, ila Moyoni nishajua itakua ndo Ile kesi ya huyu mchepuko wake kupigwa. Chap nikaenda.

Nmefika kituoni maaskali wanafoka balaa, MKE wa jamaa na shoga yake wamewekwa ndani.
Tukafanya mchakato wa dhamana wakakataa kwamba aliepigwa na kung'atwa sikio Ni mjamzito, mpk wapate uhakika wa afya yake kwanza ndo wataruhusiwa. Ukizingatia kafatwa na kushambuliwa nyumbn kwake. Maana ake MKE wa jamaa na shoga yake walijipanga na walipania kumshambulia.
This is criminal case. Basi Ikawa ngumu kuwatoa.

MKE wa jamaa kalala kituoni jana,
Leo asbh tumeenda Tena kituoni kumuwekea dhamana mke wa jamaaa, maaskali wanakomaa kwamba mpk afya Ya mwanamke yule itengamae. Akifa kesi itawageukia.
Basi nikaona hapa Ni kucheza na yule Mchepuko maana ndie alieshika makali.

Nmejishusha sana
Nmemtafuta mchepuko wa jamaa kumsihi amalize ile kesi wakayaongee, amtoe MKE wa jamaa.
Mchepuko anajiliza TU anasema mpk vipimo vyote vikamilike anahisi kwa kipigo kile mimba yake imekaa vibaya.

Mpk MDA huu Niko kituoni na jamaa,
Vichwa vimewaza mpk vimechoka sijui tunafayaje kulimaliza hili.

Sijajua MKE wa jamaa akitoka ndani itakuaje, maana analia TU kwa hasira. kwa maongez ya shemej uko lokapu anasema katika ugomvi ule Mchepuko alimtambishia kua nyumba ile kanunuliwa na jamaa (Ni kweli jamaa alimnunulia).
Afu mke analalamika kua jamaa kagoma kuwajegea wazazi wake uko kijijini, kaenda kumjengea Mchepuko wake.
HILI NI BALAA JINGINE hili.

Nikarud kwa jamaa Nikamuuliza
"Inakuaje sasa mpk mmefika huku,
Hili naweza kukulaumu Wewe maana malalamiko ya Mchepuko yule tangu mwanzo Ni hutoi matunzo. Japo ana mimba ila Ungeishi nae kwa akili sidhan kaa mngefika uko"

Jamaa akanambia kisa Cha kuacha kutoa matunzo kwake Ni kitendo Cha kwenda Mara 3 pale kwake na kumkuta baba wa mtoto yule wa kwanza wa mwanamke yule nyumbani kwake. Na Mara mbili keshamkuta sebleni.

Akamuuliza mchepuko
jamaa yule kafata Nini pale hadi anakaa sebleni kwangu na tangu mwanzo ulishasema alikuzalisha akakutelekeza na mmeshaachana, mchepuko anajitetea kua jamaa walisha-achana ila Kaja kumuangalia tu mtoto wake.

Jamaa anasema akamkanya kua hataki Tena kumuona jamaa yule pale,
Kisha Mara ya 3 ndo alipokuja akamkuta jamaa seblen kakaa kwenye sofa na mwanae anakunywa Hadi juice na ndiz za kukaanga kwa posho aliyomwachia mwanamke yule.

Ndipo alipositisha kutoa huduma rasmi na kumwambia mwanamke yule kua huyu jamaa unaemng'ang'ania sana ndo huyo huyo akuhudumie rasmi.

Ikawa Ndo chanzo Cha chokochoko zote zilikoanzia.

Duh! Nikashangaa Sana
maana kwenye magomvi yao Mchepuko yule hakuwai kunambia vitu Kama vile.

Anyway,
Turudi kwa jamaa, Mchepuko wake, mke wake na ndoa Yao kiujumla. TUNALIWEKAJE HILI mambo yawe sawa.

HEBU Tushauriane hapa wakuu
Yooote tunazunguka tuu ila chanzo ni single maza,single maza ni shida sana hapa mjini
 
Back
Top Bottom