DeepPond
JF-Expert Member
- Nov 18, 2017
- 40,508
- 99,300
- Thread starter
- #661
Hapo kwenye wanawake wa kichaga sikuafiki kabisa mkuuAah sema nimegundua wanawake kweli hampendani, mda mwingine naona kweli dunia haiko sawa kwa hawa viumbe wenzetu, ingekua ndo mwanamke kafanya hayo hadi kwenye nyumba icho kikao kisingekuepo angepigwa kama sio kuuliwa nakoo pande zote wangemtenga na kumwona MNYAMA NA SHETANI ila kwa kua ni mwamaume ye ndo kafanya et ndo vikao vya kuwekwa sawa na mwanaume yupo huru kuchua maamuzi!!!!
all n all ndo maana nawakubali wanawake wakichagga(baadhi) ukiona mwanaume ndani anarukaruka unampeleka next life chap alafu unabaki na mali unarithisha wanao wale haki zao kwa raha kama kulikua na michepuko inamdangia mume wake basi itabidi ikamdangie kaburini uko.
Kama iko kisa nichakweli inabidi mwanaume anyangaywe hati zote na mali zisimamiwe na mwanamke kwajili ya watoto, ndoa ivunjwe, mwanamke awe huru na mali na wototo then atafute mume bora kwake mwingine akae nae walee watoto na waendeshe maisha, uyo mwanaume ye aende kwamchepuko walee familia kwa raha zao pia since washahujumu uchumi wa familia wamepata nyumba ni mwanzo mzuri ili mchepuko asilalamike so aolewe kabisa na uyo mwanaume wajiachie.
Ila nwombea uyo mwanamke ikiwa ivo na mali akabaki nazo apate mwanaume kama kina sis MAUNCLE SHAMTE wenyewe hatuwazi sana kutafuta ela ila kazi yetu nikutabasamu, kukupa furaha, ushauri na kukupelekea moto baasihatuchiti maana tunghalamikiwa.[mention]DeepPond [/mention]