Na hakuna mwanaume anaye muacha mke wake michepuko inajisahaulishaga kijinga kwa wake zetu hutuambii kitu tunarudi muda wowote.Ila madawa yao yakiisha wanaume wanakuaga kama wameloa yani na nuru ya usoni inaishaa..ndo muda wa kurudi kwa wake zao sasa wameshachapika. Any way msijiendekeze sana fanyeni kama ni emergency sio mnaji Admit kabisa hahahahaahhaahh
Me ushauri wangu huyo mke wa jamaa muacheni akae ndani kama week mbili akitoka humo atakua amejifunza jinsi ya kuilinda ndoa yake na kufata mambo yake na sio kupiga wanawake wajawazito.......Huyo mjamzito aendelee kuhudumiwa kama kawaida na huyo baba wa mtoto anaenda kwa watu kula kula vitu vya watu ww Deepond siumsahuri rfk Ako mumbonde na onyo Kali alitoa mguu kweny hyo nyumba atabakwa basi njia rahisi sana
Dada ako ndio angekua na mimba akafanyiwa kitendo kama hicho ungechukua uamuzi gani?!
Nina akili ndomaana sipendagi ujinga
Ety ITV Kuna watu mnajua kuongea tu........ Kweny vitendo 0Mi binafsi ningemwaacha akome hata akifa poa tuu, ye anajua kabisa apa sio ulaya afu unajipeleka kwa MKE ye kajikalia shop anataftia familia we unajilpeleka kwa MKE kweli!!! Ni kheri na yeye angefanya siri ila mke akajua kwanjia zake ndo akaenda kumpiga apo ningesema sawa kaonewa.
Unajua naamini mke ham kubwa ilokua imepeleka apo ni story alioambiwa na uyo mchepuko kua kapewa nyumba and blablah sa alitaka kujua iyo nyumba iko vipi, na ukute kakuta ni bongaloh kuzid ata lake alafu watoto na familia yake inateseka mwanaume anasema hana ela inshot kibinadam lazima mapepo kama sio presha vitapanda tuu alafu unaona mchepuko mwenyewe alivovimba kwenye nyumba na next baby pale aah MKE hana makosa asee atambinguni mungu atamwelewa tuu.
Kwamimi nishachepuka sana ila nilikotoka na wife wangu nakujua mwenyewe kanipigania na kunivumilia sana kiasi kwamba naamini siku akinifumania ndo mwisho wa maisha yangu na uyo mchepuko wangu nawala sitomlaumu ata chembe kabisa, namimi niskie mchepuko kajipeleka kwa WIFE asee taarifa itasikika ITV ni kifo kama sio ulemavu hawezi kwenda kwa mke wangu no motter what
Yaani micheps imevurugwa sio poa, inamtetea mchep mwenzao haha, noma sana!Huu uzi michepuko na wake halali wanajulikana, ndoa zina changamoto nyingi jamani, hasa waume zetu hawa wasiotuliza mikia na akili Ni mateso sana
Ety ITV Kuna watu mnajua kuongea tu........ Kweny vitendo 0
TutafikishaLawama pelekeni kwa waume zenu na uzembe wa baadhi ya wadada...kila kitu mkisingizia kulogwa haitapatikana nafasi ya kubadilika kwa chanzo ambao ni wanaume wenu wasioridhika na walicho oa
Pigo zake zInafanana sana na mama J,Angejua mamaJ,
Kwann niwafiche Sasa?
Umeona ee kuna mtu kanivaa mzima mzima nimemjibu kistaarabu tuu.Huu uzi michepuko na wake halali wanajulikana, ndoa zina changamoto nyingi jamani, hasa waume zetu hawa wasiotuliza mikia na akili Ni mateso sana
Watu wanachukulia kirahisi sana Hizi situation, wakaribu kuvaa viatu vyake jamaaassum we unamsaliti mumeo uko alafu unampango wa kando then sikumoja unakuta mpango wa kando yupo na mzazi mwenzake wa zaman kwenye gari wanaelekea mlimani city wako na furaha na jamaa kavaa nguo ulizomletea zawadi je utazidi kumletea zawadi nyingine? Kumghalamikia mtu alafu uone anamjali mwingine inauma na najua uyo dada alikua anafanya kusudi tuu sababu anajua mwanaume anamke nayeye keshaitaka position ya uyo mke mwema so sad