JF tushamngoa Blandina sasa inabidi tuhamishe majeshi kwa Mary Nagu na yule babu cha uzingizi
Na wala msipate taabu kutaka kuleta hoja za kisomi nyie leteni madudu yao tuyaanike kisha tuhamie kwa wengine
Naamini kwa hili itakuwa JF itarudi kwenye misingi ya ke ya asili...kutetea maslahi ya waTanzania
Muda wa kubishana na kupiga domo ushakwisha
Na wala msipate taabu kutaka kuleta hoja za kisomi nyie leteni madudu yao tuyaanike kisha tuhamie kwa wengine
Naamini kwa hili itakuwa JF itarudi kwenye misingi ya ke ya asili...kutetea maslahi ya waTanzania
Muda wa kubishana na kupiga domo ushakwisha