Kwa mujibu wa picha nna mitazamo miwili.
Pesa hapo ina uzito wa kawaida sana kiasi kwamba naziunganisha na huyo binti nawatoa wote inawezekana.
Au nalirusha zigo la pesa nje huko alafu namchukua binti.
Au naziacha pesa zotumbukie kwa sababu mamba hawali pesa ntamwokoa binti alafu nafanya mchakato wa kuziokoa pesa kabla hazijalowa na kuzama.
Lakini pia ubinadamu unathaminiwa sana kuliko makaratasi.