Tusaidiane tafadhalini hawa Paka wa Dar es Salaam ni Wanyama au Binadamu wenzetu tu?

Maajabu ya wanyama hayaishi Dar,Magomeni kuna mbuzi hawavuki barabara kizembe wanaenda kwenye Zebra wanavuka salama wa salimini.Huko Yombo kuna mbuzi wanaishi kwa kujichunga wenyewe na hawaibiwi pamoja na vibaka wote wa Yombo wale.Mipaka ya bar imenenepa mishavu kwa supu na haili tena panya labda umchome utie chumvi na pilipili labda yatakula.We paka ugali mchuzi hataki mpaka utie nyama na kachumbari ataachaje kunenepa kwamfano.Panya wa mjini hapa siku hizi sherehe kila siku paka hana habari
 
Woga Tu Na Kukosa Imani. Hata Kama Hao Paka Ni Majini Haipaswi Wakimbiwe, Ni Kupambana Na Hali Zao.
 
Ajabu Iko Wapi Hapo Wakati Mbuzi Wa Kawaida Tu Wanakula Ugali? Pombe Pia Wanakunywa !,
 
Labda nikuachie kazi gentamycine
Siku ukiona paka anakimbiza panya adkumkamata na kumla apa dar, tafadhali lete ushuhuda na ela ya supu itausika
 
Tokea nizaliwe sijawahi kuona kama siyo kusikia Mnyama Paka akikohoa na kupiga chafya ila kwa muda wa Siku kama Nne hivi nimebahatika kulala maeneo tofauti tofauti hapa Jijini Dar es Salaam kama vile Mbezi ya Kimara, Mbagala, Sinza na Tegeta Masaiti na kuona maajabu.

Zamani hapa Dar es Salaam ilikuwa Paka akikuona tu lazima atoke ' Nduki / Akimbie ' lakini kwa miaka ya hivi karibuni Paka ndiye amekuwa akitutoa ' Nduki / Akitukimbiza ' Sisi Wanadamu na kuna muda anaweza akawa anakukimbiza huku anakuita kabisa na jina lako.

Nina wasiwasi mkubwa sana kama Paka wa sasa hivi wa Dar es Salaam ni Wanyama kweli kweli.

Nawasilisha.
Kama haya ni maneno yako basi huenda wewe ukawa na wafuasi wengi au wewe ni mtangazaji wa redio maana nimeyasikia redion asubuhi ya July 5 2018
 
Tokea nizaliwe sijawahi kuona kama siyo kusikia Mnyama Paka akikohoa na kupiga chafya ila kwa muda wa Siku kama Nne hivi nimebahatika kulala maeneo tofauti tofauti hapa Jijini Dar es Salaam kama vile Mbezi ya Kimara, Mbagala, Sinza na Tegeta Masaiti na kuona maajabu.

Zamani hapa Dar es Salaam ilikuwa Paka akikuona tu lazima atoke ' Nduki / Akimbie ' lakini kwa miaka ya hivi karibuni Paka ndiye amekuwa akitutoa ' Nduki / Akitukimbiza ' Sisi Wanadamu na kuna muda anaweza akawa anakukimbiza huku anakuita kabisa na jina lako.

Nina wasiwasi mkubwa sana kama Paka wa sasa hivi wa Dar es Salaam ni Wanyama kweli kweli.

Nawasilisha.


Paka gani hao, hivyo ni vijanadume wa Dar au wa kibongo fleva.
 
Kama haya ni maneno yako basi huenda wewe ukawa na wafuasi wengi au wewe ni mtangazaji wa redio maana nimeyasikia redion asubuhi ya July 5 2018

Siyo mmoja wao ila ninachojua na ambacho nina uhakika nacho ni kwamba 99% ya Watangazaji na Waandishi wa Habari hupenda sana kuja JF na kuchungulia GENTAMYCINE nimeandika / nimekuja na nini kisha nao wanayatumia katika maeneo yao husika. Ushahidi wa hili ninao mwingi tu na ndiyo maana namshukuru sana Mwenyezi Mungu kwa aina ya ' Shani ' yake aliyonipa hadi kufuatiliwa na Watu wengi mno Jamvini. Majibu yangu yote na uhalisia wangu utayapata vyema katika ' Signature ' yangu hii ya ' Purely Talented, Charismatic Fella, Game Changer and Entertainer ' na hata ' threads ' na ' posts ' zangu zote humu huwa nazianzisha kulingana na hayo maneno ' Kuntu ' yaliyomo katika ' Signature ' hiyo.
 
watu wakorofi eti katumia bangi mwandishi

Kwani aliyekuambia Bange / Bangi ni mbaya nani? Ingekuwa mbaya moja ya nchi ambayo pia kila mwaka inakusaidia Wewe Kimaendeleo ya Canada ingehalalisha matumizi yake? Sasa si bora Mimi ninayevuta Bangi / Bange hiyo kuliko Wewe na huyo Mwenzako Joowzey ' mnayetambaliziwa ' kila uchao kunako ' Unyabeni ' Kwenu!
 
Siyo mmoja wao ila ninachojua na ambacho nina uhakika nacho ni kwamba 99% ya Watangazaji na Waandishi wa Habari hupenda sana kuja JF na kuchungulia GENTAMYCINE nimeandika / nimekuja na nini kisha nao wanayatumia katika maeneo yao husika. Ushahidi wa hili ninao mwingi tu na ndiyo maana namshukuru sana Mwenyezi Mungu kwa aina ya ' Shani ' yake aliyonipa hadi kufuatiliwa na Watu wengi mno Jamvini. Majibu yangu yote na uhalisia wangu utayapata vyema katika ' Signature ' yangu hii ya ' Purely Talented, Charismatic Fella, Game Changer and Entertainer ' na hata ' threads ' na ' posts ' zangu zote humu huwa nazianzisha kulingana na hayo maneno ' Kuntu ' yaliyomo katika ' Signature ' hiyo.
Hogera yako bro
 
Back
Top Bottom