Kwahiyo hao Havard kwako wewe ndiyo Mungu mtu? Kwanini hujatolea mfano labda wa Universities za UDSM, Makerere na Kenyatta? Watanzania bado tuna AKILI za KIKOLONIWA na ndiyo maana hata hao hao wazungu mnaowababaikia mkienda kwao wanawaita MANYANI huku wakiwabagua katika hotel zao na kuwatupieni ndizi na sometimes hadi kinyesi. Nadhani wewe ndiyo umekurupuka na sijui umetokea katika DAMPO gani.