Think
Member
- Jul 27, 2012
- 71
- 1
huduma zetu na wawekezaji zinaendana na ubora na thamani tunayopewa ktk miradi ya maendeleo au kujuana kwingi halafu kazi haziendi?
tusaidiane ili kuiokoa serikali dahifu kwa maoni iwe kwa wazawa au wageni,
KAMA UNAONA WAWEKEZAJI KUTOKA NJE NI BORA ZAIDI YETU ni heri kuwajulisha akina magufuli wajue au kama wazawa ni bora kuliko wageni basi hakuna haja ya kuwaleta WAGENI ktk miradi ya maendeleo.
JE UDHAIFU WA SERIKALI UPI......?
tusaidiane ili kuiokoa serikali dahifu kwa maoni iwe kwa wazawa au wageni,
KAMA UNAONA WAWEKEZAJI KUTOKA NJE NI BORA ZAIDI YETU ni heri kuwajulisha akina magufuli wajue au kama wazawa ni bora kuliko wageni basi hakuna haja ya kuwaleta WAGENI ktk miradi ya maendeleo.
JE UDHAIFU WA SERIKALI UPI......?