nziriye
JF-Expert Member
- Jan 23, 2011
- 1,050
- 361
Wanajf nimekumbuka na kutafakari nikapenda tushirishane wote hiki kitu,hebu turudi zamani zile za kale kabla ya ugunduzi wa vitu ambavyo tunatumia kama magari,ndege,meli,laptops,cellphones,plasma tv,clothes ,weapons etc...eti jamani maisha yangekuaje:-
-maisha bila tv wakati umeizoea utaweza?
-vp kuhusu sie tuliozoea kutembelea jf tungeishi vipi?
-na wale waliozoea ku-fight sijui wangetumia vijiti au?
-eti wanajf mliopo nje ya tz mtatumia muda gani kusafiri toka nje ya nchi hadi bongo-land,
-ndugu yangu mkwere atakuwa anaendaje safari zake zile za kwenda kubembea jamaicar
yani bandugu zangu nina maswali mengi majibu-less,nisaidieni hayo machache tu ,mana duh mambo uchi uchi maria roza yupo kweli mana ...
-maisha bila tv wakati umeizoea utaweza?
-vp kuhusu sie tuliozoea kutembelea jf tungeishi vipi?
-na wale waliozoea ku-fight sijui wangetumia vijiti au?
-eti wanajf mliopo nje ya tz mtatumia muda gani kusafiri toka nje ya nchi hadi bongo-land,
-ndugu yangu mkwere atakuwa anaendaje safari zake zile za kwenda kubembea jamaicar
yani bandugu zangu nina maswali mengi majibu-less,nisaidieni hayo machache tu ,mana duh mambo uchi uchi maria roza yupo kweli mana ...