Turudi zamani kidogo....

nziriye

JF-Expert Member
Jan 23, 2011
1,050
361
Wanajf nimekumbuka na kutafakari nikapenda tushirishane wote hiki kitu,hebu turudi zamani zile za kale kabla ya ugunduzi wa vitu ambavyo tunatumia kama magari,ndege,meli,laptops,cellphones,plasma tv,clothes ,weapons etc...eti jamani maisha yangekuaje:-

-maisha bila tv wakati umeizoea utaweza?
-vp kuhusu sie tuliozoea kutembelea jf tungeishi vipi?
-na wale waliozoea ku-fight sijui wangetumia vijiti au?
-eti wanajf mliopo nje ya tz mtatumia muda gani kusafiri toka nje ya nchi hadi bongo-land,
-ndugu yangu mkwere atakuwa anaendaje safari zake zile za kwenda kubembea jamaicar



yani bandugu zangu nina maswali mengi majibu-less,nisaidieni hayo machache tu ,mana duh mambo uchi uchi maria roza yupo kweli mana ...
 
Wanajf nimekumbuka na kutafakari nikapenda tushirishane wote hiki kitu,hebu turudi zamani zile za kale kabla ya ugunduzi wa vitu ambavyo tunatumia kama magari,ndege,meli,laptops,cellphones,plasma tv,clothes ,weapons etc...eti jamani maisha yangekuaje:-

-maisha bila tv wakati umeizoea utaweza?
-vp kuhusu sie tuliozoea kutembelea jf tungeishi vipi?
-na wale waliozoea ku-fight sijui wangetumia vijiti au?
-eti wanajf mliopo nje ya tz mtatumia muda gani kusafiri toka nje ya nchi hadi bongo-land,
-ndugu yangu mkwere atakuwa anaendaje safari zake zile za kwenda kubembea jamaicar

yani bandugu zangu nina maswali mengi majibu-less,nisaidieni hayo machache tu ,mana duh mambo uchi uchi maria roza yupo kweli mana ...

Mkwere angetwambia ameota... umesahau zile za mkuu wa nchi kusema ameota kitu fulani kimetokea nchi nyingine.......
 
Back
Top Bottom