Turkey seeks US Patriot Missiles to deter Russia in Syria

Hapo kwa Hezbollah umechanganya, hiyo haiko Syria iko Palestine inapambana na Israel. Pia S-300 zimeuzwa muda si mrefu hivo bado jeshi la Syria lilikuwa halijaanza kuzitumia bado walikuwa wanafundishwa na Warusi. Na kwakuwa Warusi wako na operation kule lazima wawe na washauri wa kivita na team kadhaa ya kuoperate hizo base walizonazo. Hata special forces hutumwa kusaidia. Na hakuna Su-57 iliyoenda kupigana uko, hiyo ndege ni level za juu sana kupigana na waasi. Mig-25 tu inatosha.
Mkuu wahitajika kusoma taarifa za kutosha Sana kutoka middle East especially Syria.. HEZBOLLAH ni washirika wa mwanzo Assad wa Vita dhidi y rebels na terorists kabla ya Iran na russiA.
Kuhusu mig 25 ziko out of service by Russian airforce.. su 57 iko katika majaribio mazito

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tunappkua tunawatetea waajemi juu yakuyokua wategemezi kisiasa kiuchumi na kijamii hua tunamaanisha
Dah turkey Wana Hali mbaya wamepeleka jeshi Syria halafu hawana air defence systems makini.. wasyria wanawabomoa kila siku kwa ndege hata leo.. hivi kweli uturuki wanakuwa Hadi nyuma ya Iran kwenye defences systems?
Kuwa chini ya marekani sometime ni kujitia utegemezi hata kwenye maswala ya umuhim Kam ulinzi

Sent using Jamii Forums mobile app
Halafu pia hua nawaona watu wanamambo ya ajabu sana kulifananisha taifa kubwa kama la IRAN Navijitaifa vyakipuuzi puuzi kama TURKEY na SAUDI ARABIA Ambao Bila Wamagharibi hawaendi ama hawatakaa madarakani hata kwamuda wa dkka 15

Kwa eneo lamashariki yakati Taifa Pekee Ambalo Linaweza Kuvimbiana Na IRAN Kisiasa Na Kijeshi Ni Wale WAYAHUDI Pekeyao Hao Wengine Wasije Wakathubutu Maana Wataangamia.....

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unawachukuliaje Spetnaz ambao walishaiba silaha kutoka kwa Mmarekani mwenyewe sembuse Uturuki. Kule vita ya Korea na Vietnam waliiba silaha waziwazi kabisa. Kule Syria walijam makombola ya Tomahawk ya U.S Navy wakaipelekea kampuni ya mifumo ya redio ikayasome navigation system na namna ya kuyazuia zaidi.
Spertnaz hawajawai kujam makombola ya usa

Kuvamia kambi na kuuwa wanajeshi 20 sio mission ngumu hiyo maana hata adf al shabab wanauwezo huo

kuingia kwenye aridhi ya nchi husika mvamie kambi na kuiba vifaa vya jeshi sio kazi nyepesi kama unavyodhani

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hiyo Syria, Marekani akitaka iwe na amani ni dakika tu wanakuwa nayo lkn kumtegemea mno Russia haitawasaidia sana kwani huyo ni daktari wa kutibu dalili tu.

Siku Assad akili zitakapomuijia na kutafuta dialogue na US na kuachana na hao karugaruga kama Iran ndio amani wataiona lkn vinginevyo Assad aendelee tu kutegemea piriton, valium kutafuta usingizi.

US kawa mpolee huku daily akiomba dialogue kwa taliban, kama ananyolewa vuzi kwa chupa vile.
 
Tunappkua tunawatetea waajemi juu yakuyokua wategemezi kisiasa kiuchumi na kijamii hua tunamaanisha Halafu pia hua nawaona watu wanamambo ya ajabu sana kulifananisha taifa kubwa kama la IRAN Navijitaifa vyakipuuzi puuzi kama TURKEY na SAUDI ARABIA Ambao Bila Wamagharibi hawaendi ama hawatakaa madarakani hata kwamuda wa dkka 15

Kwa eneo lamashariki yakati Taifa Pekee Ambalo Linaweza Kuvimbiana Na IRAN Kisiasa Na Kijeshi Ni Wale WAYAHUDI Pekeyao Hao Wengine Wasije Wakathubutu Maana Wataangamia.....

Sent using Jamii Forums mobile app
Edo anataja kuijenga status ya ottoman but Hana nyenzo ya kufanyia ubabe.. silaha na teknolojia.. leo wakiingiza
tu ndege Syria wanagongwa juu juu. Na uzuri wameshaambiwa.. kwa Sasa lazima walie coz bila defence Nzuri hata professionals was kijeshi lazima wawe na wasiwasi was kutifuliwa.. Jana na juzi wametifuliwa na Syria na tankmen wao wamekwenda na maji kwa kuambatans na FSA Rebels

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Spertnaz hawajawai kujam makombola ya usa

Kuvamia kambi na kuuwa wanajeshi 20 sio mission ngumu hiyo maana hata adf al shabab wanauwezo huo

kuingia kwenye aridhi ya nchi husika mvamie kambi na kuiba vifaa vya jeshi sio kazi nyepesi kama unavyodhani

Sent using Jamii Forums mobile app
Ulipoquote hakuna sehemu nilipotaja kuvamiwa kwa kambi na wanajeshi 20 kufa. Kwanza huwezi linganisha jeshi la Kenya na Uturuki.
Hiyo Patriot maximum range yake ni 160km sasa utalinda mpaka gani deep vile na system kama ile. Pale hawalindi border, wanalinda anga la Syria ambalo ni eneo walilovamia. Kutokana na Patriot kuwa na range ndogo siamini kama wakiiweka kwao Turkey itaweza kucover anga lote la eneo walilovia. Tena hapo wakipewa PAC-2 yenye range hiyo, block nyingine chini ya hapo.

Nilichomaanisha ni kuwa watatakiwa kuingia na hizo battery ndani ya Syria ambako Russia wapo. Kuingia nazo ni easy target sasa wakipigwa ambush itakuwaje.
 
Mkuu wahitajika kusoma taarifa za kutosha Sana kutoka middle East especially Syria.. HEZBOLLAH ni washirika wa mwanzo Assad wa Vita dhidi y rebels na terorists kabla ya Iran na russiA.
Kuhusu mig 25 ziko out of service by Russian airforce.. su 57 iko katika majaribio mazito

Sent using Jamii Forums mobile app
Ofcourse nilitaka kumaanisha Su-25 maana Mikoyan na Sukhoi huwa nazichanganya. Mfano -34, -35, -27 huwa nasahau nani ni Su- na nani ni Mig-. Ni kama kutofautisha Mil- na Ka- ilivokuwa inanisumbua.

Hezbollah kuwepo iyo nimesoma na wala sikuwa najua kabla kwamba walikuwepo very active mwanzoni kabisa na kwa wingi. Miaka ya karibuni wamepunguza uwepo wao labda ndo maana sikuwazingatia.
 
Tunappkua tunawatetea waajemi juu yakuyokua wategemezi kisiasa kiuchumi na kijamii hua tunamaanisha Halafu pia hua nawaona watu wanamambo ya ajabu sana kulifananisha taifa kubwa kama la IRAN Navijitaifa vyakipuuzi puuzi kama TURKEY na SAUDI ARABIA Ambao Bila Wamagharibi hawaendi ama hawatakaa madarakani hata kwamuda wa dkka 15

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu! Soma vizuri historia ya Uturuki (Turkey) na maendeleo yake makubwa kiuchumi, kisiasa na kijeshi na mchango wake kwenye dunia ya Sasa sidhani kama unaweza kuliita ni laifa la "kipuuzi".

Hilo neno halifai kutumika kwa mataifa muhimu na yenye mchango kwa dunia kama Saudia na Uturuki labda kama unafanya mizaha.
 
Edo anataja kuijenga status ya ottoman but Hana nyenzo ya kufanyia ubabe.. silaha na teknolojia.. leo wakiingiza
tu ndege Syria wanagongwa juu juu. Na uzuri wameshaambiwa.. kwa Sasa lazima walie coz bila defence Nzuri hata professionals was kijeshi lazima wawe na wasiwasi was kutifuliwa.. Jana na juzi wametifuliwa na Syria na tankmen wao wamekwenda na maji kwa kuambatans na FSA Rebels

Sent using Jamii Forums mobile app
Kabsa asee silaha na tech ndio kila kitu katika moden warfare

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu! Soma vizuri historia ya Uturuki (Turkey) na maendeleo yake makubwa kiuchumi, kisiasa na kijeshi na mchango wake kwenye dunia ya Sasa sidhani kama unaweza kuliita ni laifa la "kipuuzi".

Hilo neno halifai kutumika kwa mataifa muhimu na yenye mchango kwa dunia kama Saudia na Uturuki labda kama unafanya mizaha.
Kwenye masuala mazima ya nyanja ya kijeshi SAUDIA na TURKEY Hawana Maajabu

Bila Misaada Yakiulinzi Kutoka Kwawashirika Wao SAUDIA na TURKEY Zitakua Kama Zilivyo YEMEN SYRIA YEMEN LEBANON IRAQ nawengine

Kiufupi Kwenye Nyanja Hizo Nlizozitaja Jamaa Hawana Maajabu

Uwepo wa maslahi ya US Pale SAUDIA na TURKEY Ndio Kunayafanya Yale mataifa Yawe Vile Unavyo Yaona

Hemu Vuta Picha Kama Migogoro Iliopo Baina ya US na IRAN Kama Ndio Ingekua Ipo Baina Ya SAUDIA na US Ama TURKEY na US Unadhani Hayo Mataifa Yangekua Kama Yalivyo sasa Eidha Yangelikua Yaisha Samabaratishwa Ama Yashavurugwa

IRAN Anakutana Nachangamoto sana kulinganisha nahayo mataifa mawili tajwa hapo juu ila Bado Yuko Imara


Nahisi Umenielewa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu! Soma vizuri historia ya Uturuki (Turkey) na maendeleo yake makubwa kiuchumi, kisiasa na kijeshi na mchango wake kwenye dunia ya Sasa sidhani kama unaweza kuliita ni laifa la "kipuuzi".

Hilo neno halifai kutumika kwa mataifa muhimu na yenye mchango kwa dunia kama Saudia na Uturuki labda kama unafanya mizaha.
Saudi Arabia ni wazembe tu hamna kitu. Uturuki ilisimama yenyewe vita ya kwanza ya dunia.Hata hivo ndo maana wanajitahidi kununua sana silaha maana kipindi Saddam anaivamia Kuwait walilialia sana waje kusaidiwa kuzuia wasivamiwe.
Uturuki hadi sasa ina kasi sana kwenye kutengeneza silaha zao. Wanatengeneza drones, attack helicopters, IFV, APC na vifaru, hata meli na boti za kivita wanajaribu kuunda za kwao. Wameanzisha program ya stealth fighter ambapo angalau miaka kumi ijayo watakuwa nayo.
 
Tena nimeedit Mkuu Bwan Utamu baada ya kurudi kwenye source ya taarifa,mwanzo nilisema Spetsnaz 25 ndio waliovamia,lahasha, ni Spetsnaz 10 tu,ila dakika walizotumia kuvamia na kuvuruga kambi ,nzima kuua, kujeruhiwa, kuharibu na kusepa na helkopta mpya ni 25 tu Hao ni GRU Spetsnaz.
Walliwahi pia kufanya unyama ambao Mimi kwa kweli Sikuupenda nchini Atghanistan.
Walivamia makazi ya Rais wakaua wanajeshi,wakaua kikosi kizima Cha kumlinda Rais na Rais wakaua.
Sio watu wazuri.
Visa vyao vingi vimefichwa.ni Siri.
Mmmmhh duh hatari
 
Ulipoquote hakuna sehemu nilipotaja kuvamiwa kwa kambi na wanajeshi 20 kufa. Kwanza huwezi linganisha jeshi la Kenya na Uturuki.
Hiyo Patriot maximum range yake ni 160km sasa utalinda mpaka gani deep vile na system kama ile. Pale hawalindi border, wanalinda anga la Syria ambalo ni eneo walilovamia. Kutokana na Patriot kuwa na range ndogo siamini kama wakiiweka kwao Turkey itaweza kucover anga lote la eneo walilovia. Tena hapo wakipewa PAC-2 yenye range hiyo, block nyingine chini ya hapo.

Nilichomaanisha ni kuwa watatakiwa kuingia na hizo battery ndani ya Syria ambako Russia wapo. Kuingia nazo ni easy target sasa wakipigwa ambush itakuwaje.
Fact bt sio simlpe mission

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Fact bt sio simlpe mission

Sent using Jamii Forums mobile app
Sio simple lakini jua ya kuwa SAS waliwahi kufanya mission ya kuiba radar kwenye pwani ya Nazi Germany. Waliichukua kwa mapigano na wakaenda nayo kwao ikawekwa lab wakachukua technical details walizotaka. Mbona U.S waliiba Enigma machine kutoka kwenye U-boat na kuipeleka kwao kuisoma. Na ndo ukawa mwanzo wa kusoma taarifa za siri zinazotumwa na mfumo huo.
 
Uturuki wanayumba sana in foreign policy.Wanapaswa kuwa na policy inayoeleweka.Sasa wanataka Patriot Missiles za Marekani kwa kuwa wamebanwa na Urusi,Syria na Iran Idlib.Ni majuzi tu walinunua the S-400 Triumf Missile System ya Urusi na kusitisha participation in the manufacture of the Fighter F-35,mradi ambao una the participation of nine countries,na wakati huo huo wana mikataba ya kibiashara na Urusi.Nashindwa kuilewa Uturuki frankly.

Huwezi kuyumba kiasi hicho halafu ukawa na rafiki wa kweli na wa kudumu,na kwa Turkey,rafiki wa kweli na wa kudumu anaweza kuwa Mrusi tu.Marekani ni Lifisi tu,ambalo leo ni rafiki na kesho linakunyofoa mkono.The Americans are so untrustworthy and undependable.
 
Uturuki wanayumba sana in foreign policy.Wanapaswa kuwa na policy inayoeleweka.Sasa wanataka Patriot Missiles za Marekani kwa kuwa wamebanwa na Urusi,Syria na Iran Idlib.Ni majuzi tu walinunua the S-400 Triumf Missile System ya Urusi walisitisha participation in the manufacture of the F-16 fighter jets. Wakati huo huo wana mikataba ya kibiashara na Urusi.Nashindwa kuilewa Uturuki.
Russia ni watu makatili na hawana mnafiki

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom