Turkey seeks US Patriot Missiles to deter Russia in Syria

Tokea statements za nyuma hapa nishaeleza ninavyochanganya ndege za Mikoyan Gurevich na za Sukhoi. Nachanganya helicopter za Mil na za Kamov, si kila nikitaja napatia kampuni ipi ilitengeneza tatizo makampuni haya sio private na hivi siku hizi uote yako chini ya UAC inaniwia ngumu zaidi.

Niko sahihi, North Korea wanazo Mig-29 chache.View attachment 1370098View attachment 1370099
Ila tukiangalia kiuhalisia ndege kama hizi sidhani kama zitafua dafu kwenye makabiliano na ndege za Marekani kama F-15 na F-16 achilia mbali F-22.
 
Je unajua historia ya rada? Je unajua nchi ya kwanza kutumia rada?
Sio simple lakini jua ya kuwa SAS waliwahi kufanya mission ya kuiba radar kwenye pwani ya Nazi Germany. Waliichukua kwa mapigano na wakaenda nayo kwao ikawekwa lab wakachukua technical details walizotaka. Mbona U.S waliiba Enigma machine kutoka kwenye U-boat na kuipeleka kwao kuisoma. Na ndo ukawa mwanzo wa kusoma taarifa za siri zinazotumwa na mfumo huo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Muda hujawahi danganya....


Uturuki ataupoteza mji huo tu...


Warusi wameshasema , Haiwezekani Idlib itumike na magaidi kushambilia kambi yake ya kijeshi.



Nakm unafatalia vzuri, kwa sasa Russia imechagua matumizi ya nguvu ya kijeshi nasio diplomasia kufanya Syria kurudi mikononi kwa Assad !!
Katika nchi hizo zote za Mashariki ya kati, jeshi bora kabisa kuliko yote ni la Uturuki. Ubora wa hilo jeshi ndio ulioifanya Uturuki kukubaliwa kuwa mwanachama pekee wa NATO, kutoka nchi za Mashariki ya kati.

NATO haiwezi kumwacha Uturuki ashambuliwe bila kusaidiwa maana ndivyo kanuni za uanachama wa NATO zinavyotaka.
 
Hiyo Syria, Marekani akitaka iwe na amani ni dakika tu wanakuwa nayo lkn kumtegemea mno Russia haitawasaidia sana kwani huyo ni daktari wa kutibu dalili tu.

Siku Assad akili zitakapomuijia na kutafuta dialogue na US na kuachana na hao karugaruga kama Iran ndio amani wataiona lkn vinginevyo Assad aendelee tu kutegemea piriton, valium kutafuta usingizi.
Hakuna mahali palipokuwa na vita au conflict, Urusi aliweza kuimaliza. Urusi wataendelea kuwepo Syria, miaka nenda rudi, waarabu wataendelea kwisha, huku yeye akiendelea kujichukulia kidogo kinachozalishwa.
 
Saiv ushawishi wa kidiplomasia ktk kusaka suluhu umeamia "Moscow ". Walishamuona marekani ni mnafiki kiwango cha PhD. Unabisha?

Sent using Jamii Forums mobile app

Urusi hajawahi kumaliza mgogoro. Lumumba wa Congo, alimtegemea Mrusi, kilichofuatia ni kifo chake, Mabuto kuchukua nchi.

Korea Kaskazini, wanamtegemea Mrusi, hata chakula kwa wananchi ni shida. Huku mwenzao Mkorea Kusini anayemtegemea Mmarekani, maisha ni kama ahera ukilinganisha na maisha ya jehanamu ya Korea Kaskazini.
 
Katika nchi hizo zote za Mashariki ya kati, jeshi bora kabisa kuliko yote ni la Uturuki. Ubora wa hilo jeshi ndio ulioifanya Uturuki kukubaliwa kuwa mwanachama pekee wa NATO, kutoka nchi za Mashariki ya kati.

NATO haiwezi kumwacha Uturuki ashambuliwe bila kusaidiwa maana ndivyo kanuni za uanachama wa NATO zinavyotaka.
👊👊👊👊
Uturuki ndio superpower eneo hilo baada ya Israel.
 
Na ndio akome kilicho mpeleka kwenye nchi ya watu ni kitu gani?
Yaan mm kati ya viongozi ambao huwa siwaelewi kabisa ni Edorgan.
Sasa amejiingiza kwenye ligi ya wababe wakati ubavu wake ni mdogo.
Hizo ligi za kuwavimbia wakubwa wa dunia anaziweza Iran tu.
Ni kweli asee
 
Urusi hajawahi kumaliza mgogoro. Lumumba wa Congo, alimtegemea Mrusi, kilichofuatia ni kifo chake, Mabuto kuchukua nchi.

Korea Kaskazini, wanamtegemea Mrusi, hata chakula kwa wananchi ni shida. Huku mwenzao Mkorea Kusini anayemtegemea Mmarekani, maisha ni kama ahera ukilinganisha na maisha ya jehanamu ya Korea Kaskazini.
Na vietnam ilikuwaje?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Katika nchi hizo zote za Mashariki ya kati, jeshi bora kabisa kuliko yote ni la Uturuki. Ubora wa hilo jeshi ndio ulioifanya Uturuki kukubaliwa kuwa mwanachama pekee wa NATO, kutoka nchi za Mashariki ya kati.

NATO haiwezi kumwacha Uturuki ashambuliwe bila kusaidiwa maana ndivyo kanuni za uanachama wa NATO zinavyotaka.
We nae sijui umekula maharage ya wapi
 
Ila tukiangalia kiuhalisia ndege kama hizi sidhani kama zitafua dafu kwenye makabiliano na ndege za Marekani kama F-15 na F-16 achilia mbali F-22.
Ndio maana nikawaambia watu waache kukariri namba, wingi wa idadi kwenye vita hauna mantiki. Muhimu ni uwezo, mbona Israel ilishinda vita na vifatu, ndege, wanajeshi vyote vichache. Mtu analeta namba za jeshi la Korea Kaskazini eti itaipiga U.K, kwa ndege zipi?
Mtu anasema eti Iran ana ndege nyingi, ndege zao za kisasa ni Tomcats ambazo zilikuwa grounded mwaka 2006 na watengenezaji. Hizohizo ndo Iran hana hata spares zake afu mtu anakuja anadai eti wana ndege zao. Drones ni za kawaida tu.
 
Katika nchi hizo zote za Mashariki ya kati, jeshi bora kabisa kuliko yote ni la Uturuki. Ubora wa hilo jeshi ndio ulioifanya Uturuki kukubaliwa kuwa mwanachama pekee wa NATO, kutoka nchi za Mashariki ya kati.

NATO haiwezi kumwacha Uturuki ashambuliwe bila kusaidiwa maana ndivyo kanuni za uanachama wa NATO zinavyotaka.
Br hapa umeyumba! Ubora wa jeshi si kriteria ya nchi kuwa katika NATO! Fikiri kuhusu Latvia, na marcedonia vinchi dhaifu kabisa kijeshi na idadi ya watu isiyozidi 3 million each .

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Katika nchi hizo zote za Mashariki ya kati, jeshi bora kabisa kuliko yote ni la Uturuki. Ubora wa hilo jeshi ndio ulioifanya Uturuki kukubaliwa kuwa mwanachama pekee wa NATO, kutoka nchi za Mashariki ya kati.

NATO haiwezi kumwacha Uturuki ashambuliwe bila kusaidiwa maana ndivyo kanuni za uanachama wa NATO zinavyotaka.
Sawa kuhusu kushambuliwa mbona anagongeka na Russia + Syria daily na NATO wapo?
He article 5 Haifanyi kazi?
1. Ni kwasababu NATO haimsuppot edogan coz so mwsnademokrasia apendwae na Marekani..
2. Anasurpot waziwazi makundi yaliyoorodheshwa ya kigaidi na mfungamano na alqaida Hayat tahrir alsham or Currently called Alnusra Front.
3. Hasara za kuijaribu response ya urusi juu ya shambulio lolote kutoka NATO directly ..
Hayo ni maoni yangu tu...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndio maana nikawaambia watu waache kukariri namba, wingi wa idadi kwenye vita hauna mantiki. Muhimu ni uwezo, mbona Israel ilishinda vita na vifatu, ndege, wanajeshi vyote vichache. Mtu analeta namba za jeshi la Korea Kaskazini eti itaipiga U.K, kwa ndege zipi?
Mtu anasema eti Iran ana ndege nyingi, ndege zao za kisasa ni Tomcats ambazo zilikuwa grounded mwaka 2006 na watengenezaji. Hizohizo ndo Iran hana hata spares zake afu mtu anakuja anadai eti wana ndege zao. Drones ni za kawaida tu.
Ndugu yangu inaonekana hauelewi, narudia tena, huwezi kuingia vitani na nchi kama Iran alafu utegemee jeshi la anga kushinda vita unakuwa unajidanganya sana, tena kwa nchi kama Uturuki ambayo wamepakana nayo kabisa.
Ili uishinde Iran ni lazima uipige kwa makombora mazito sana ndio utaweza kuidhoofisha makombora ambayo uturuki hana kabisa.
Mashambulizi ya ndege hayawezi kuidhoofisha nchi kama Iran.
Nakuhakikishia ikitokea Iran na uturuki wakaingia vitani na uturuki isimame yenyewe bila kusaidiwa na maswaiba wake.
Ni rahisi kwa Iran kuziteketeza Instambul na Ankara kuliko Uturuki kuiteketeza Teheran kiufupi uturuki itaharibiwa nbaya ndani ya muda mfupi mno.
Iran ni kati ya nchi yenye shehena kubwa sana ya makombora ya masafa ya kati duniani.
 
Hiyo Syria, Marekani akitaka iwe na amani ni dakika tu wanakuwa nayo lkn kumtegemea mno Russia haitawasaidia sana kwani huyo ni daktari wa kutibu dalili tu.

Siku Assad akili zitakapomuijia na kutafuta dialogue na US na kuachana na hao karugaruga kama Iran ndio amani wataiona lkn vinginevyo Assad aendelee tu kutegemea piriton, valium kutafuta usingizi.

Siyo rahisi kihivyo. Hii vita imeanza siku nyingi sana ila kwa hatua. Kilamtu anajua Syria ni justa stepping stone. Kama ilivyokuwa Afaghanistan, then Iraq then Syria. Iran na Russia wameliona hilo ndio maana hawakubalu kusubiria vita kwao wameena kusubiria hiyo sita Syria ili waanzie hapo. HIvyo vikwazo vya kiuchumi huwa ni very longterm weapon yakudhoofisha uchumi na mark my words Iran na Russia wamekuwa na nguvu sana ku sustain chumi zao kwa kiwango hicho walichofanya lakini zina impact kubwa sana.
 
Back
Top Bottom