Kambonna
Senior Member
- Apr 20, 2015
- 175
- 69
Habari wanajamvi,
Kuna hili swala ambalo nimekuwa nikilifikiria kwa muda sana lakini majibu yake sipati.Swali ambalo najiuliza kwanini wanaume tunawalaumu sana hawa mama zetu na dada zetu kuwa ni wasaliti, sio watu wazuri,sio waaminifu n.k.Mimi nadhani(kwa maoni yangu).Mwanamke kuwa msaliti mara nyingi (not all cases),chanzo huwa ni mwenendo wetu sisi wanaume kubadilika especially unapokuwa umeisha mzoea mpenzi wako au mkeo.Wanawake by nature ni watu ambao ni weak an always they need maximum protection,caring n.k.
Na sio kwa case zote lazima uwe strong financially only being there for her inaweza kukupa credits.Wanawake hawa wanapopata penzi la kweli ni watu wazuri sana,wenye huruma,wavumilivu na wenye kuthamini utu wa mtu. Kosa kubwa tunalofanya wanaume ni kutowatendea haki ya asili yao kuwapa upendo wa dhati na mwisho tunategemea wao waendelee kutupenda hivyohivyo regardless fake treatment tunazowapa na vituko vingine.
Kumbuka hawa ni binadamu nao pia huwa wanachoka.Inapofikia point mwanamke amechoka huwa ndio nitolee wakati ambao ndio mwanaume unastuka na kuanza kulalama ooh wife yupo hivi, mara kafanya vile, swali la kujiuliza wewe mwanaume ni hili je ulitimiza wajibu wako kama mwanaume?Ulitekeleza yote uliyoahidi mbele za mungu wakati wa ndoa? Ya kumpenda kwa shida na raha? Au kama ni mpenzi zile siku za mwanzo mapenzi yakiwa moto ulitekeleza ahadi ulizomuahidi,kwa mfano,nitakupenda maisha yangu yote sintaruhusu umwage chozi kwaajili yangu n.k.Kama hukuyafanya usitegemee positive response kutoka kwa mwenzi wako.
Hapo ndipo hutoacha ona kila aina ya rangi utatamani dunia ipasuke uingie coz hawa wenzetu(wanawake),they are very smart in playing games and revange.Kitu kingine nadhani sisi wanaume tunachokosea ni kutaka watoto wazuri ambao wakati mwingine sio class yako unajibalaguza you can afford her kwa kuungaunga mwisho unashindwa mhudumia then unaanza lalamika ooh anapenda hela,sio mvumilivu n.k.
Wewe umemkuta mwanamke kwao alikuwa amezoea huduma ambazo ni classic badala ya kutengeneza mazingira ambayo yatamfanya aridhie na kukubali kama ulivyo ili hata itakapotokea umekwama awe tayari kuwa na wewe unamuapproach as if you also belongs to that category, mwisho wa siku she will demand the same treatment coz hukuwa wazi alafu unaanza kulalamika wakati chanzo ni wewe. Hitimisho wanaume tujaribu kuwa na mtizamo tofauti kidogo na hawa mama zetu na dada zetu mimi binafsi nadhani ni watu wazuri tu kama tutaishi nao kwa mapenzi ya dhati.
NB: Huo ni mtazamo wangu but kila mtu anao wa kwake.
Karibuni tuchangie matusi kejeli havijengi
Kuna hili swala ambalo nimekuwa nikilifikiria kwa muda sana lakini majibu yake sipati.Swali ambalo najiuliza kwanini wanaume tunawalaumu sana hawa mama zetu na dada zetu kuwa ni wasaliti, sio watu wazuri,sio waaminifu n.k.Mimi nadhani(kwa maoni yangu).Mwanamke kuwa msaliti mara nyingi (not all cases),chanzo huwa ni mwenendo wetu sisi wanaume kubadilika especially unapokuwa umeisha mzoea mpenzi wako au mkeo.Wanawake by nature ni watu ambao ni weak an always they need maximum protection,caring n.k.
Na sio kwa case zote lazima uwe strong financially only being there for her inaweza kukupa credits.Wanawake hawa wanapopata penzi la kweli ni watu wazuri sana,wenye huruma,wavumilivu na wenye kuthamini utu wa mtu. Kosa kubwa tunalofanya wanaume ni kutowatendea haki ya asili yao kuwapa upendo wa dhati na mwisho tunategemea wao waendelee kutupenda hivyohivyo regardless fake treatment tunazowapa na vituko vingine.
Kumbuka hawa ni binadamu nao pia huwa wanachoka.Inapofikia point mwanamke amechoka huwa ndio nitolee wakati ambao ndio mwanaume unastuka na kuanza kulalama ooh wife yupo hivi, mara kafanya vile, swali la kujiuliza wewe mwanaume ni hili je ulitimiza wajibu wako kama mwanaume?Ulitekeleza yote uliyoahidi mbele za mungu wakati wa ndoa? Ya kumpenda kwa shida na raha? Au kama ni mpenzi zile siku za mwanzo mapenzi yakiwa moto ulitekeleza ahadi ulizomuahidi,kwa mfano,nitakupenda maisha yangu yote sintaruhusu umwage chozi kwaajili yangu n.k.Kama hukuyafanya usitegemee positive response kutoka kwa mwenzi wako.
Hapo ndipo hutoacha ona kila aina ya rangi utatamani dunia ipasuke uingie coz hawa wenzetu(wanawake),they are very smart in playing games and revange.Kitu kingine nadhani sisi wanaume tunachokosea ni kutaka watoto wazuri ambao wakati mwingine sio class yako unajibalaguza you can afford her kwa kuungaunga mwisho unashindwa mhudumia then unaanza lalamika ooh anapenda hela,sio mvumilivu n.k.
Wewe umemkuta mwanamke kwao alikuwa amezoea huduma ambazo ni classic badala ya kutengeneza mazingira ambayo yatamfanya aridhie na kukubali kama ulivyo ili hata itakapotokea umekwama awe tayari kuwa na wewe unamuapproach as if you also belongs to that category, mwisho wa siku she will demand the same treatment coz hukuwa wazi alafu unaanza kulalamika wakati chanzo ni wewe. Hitimisho wanaume tujaribu kuwa na mtizamo tofauti kidogo na hawa mama zetu na dada zetu mimi binafsi nadhani ni watu wazuri tu kama tutaishi nao kwa mapenzi ya dhati.
NB: Huo ni mtazamo wangu but kila mtu anao wa kwake.
Karibuni tuchangie matusi kejeli havijengi