Chizi Maarifa
JF-Expert Member
- Jul 29, 2013
- 10,471
- 23,744
Mimi siamiani katika siasa za uadui.lakini hii haimaanishi kuwa sasa mtu mwingine awe huru tu kunitukana matusi makubwa makubwa.kwanini tusibishane kwa hoja tu?
Nmesikitika sana leo nikiongea mambo ya siasa na vijana wenzangu sehemu moja halafu mwendawazimu mmoja akajitokeza na kunambia "wewe utakuwa CCM" tusi hilo lilinifanya nisahau utamaduni mzuri nliokuwa nao wa kuvumiliana.
Nlifanya kitendo kisicho cha kiungwana kwa kumgonga na mkono ambao tayari nlikuwa nmeuviringa vidole vyote pamoja na kutengeneza kitu kama nyundo.nikiwa nmeviringa namna hiyo niliusukuma kuelekea kwenye uso wake.
Nao ukaenda na kukita kwenye pua kwa kishindo na kumsababishia jamaa apoteze balance na kwenda chini huku akitoa maji maji mekundu puani.
Kiukweli ni zaidi ya miaka 35 sijawahi fanya tendo kama hilo la kuviringa vidole na kumsukumia mtu.lakini leo imenitokea baada ya kuona natukanwa kwa kiwango kikubwa sana.kuitwa mimi ni CCM.
Nmewaza mimi leo hii akili yangu inafananishwa na watu kadhaa prominent katika sisiem?why nichukiwe hivyo na kutukanwa matusi ya wazi wazi kabisa?
Nasisitiza, tusitafutiane kesi.nitukane matusi yoyote ila usiniite ccm. Naweza nikawa nakubaliana na mambo kadhaa ya kimsingi anayofanya rais kwa ukenge ufu wa kawaida kabisa kama binadamu mwingine yeyote.nobody is perfect.ila siyo ndo nitukanwe kuwa mimi ni CCM.
Nmesikitika sana leo nikiongea mambo ya siasa na vijana wenzangu sehemu moja halafu mwendawazimu mmoja akajitokeza na kunambia "wewe utakuwa CCM" tusi hilo lilinifanya nisahau utamaduni mzuri nliokuwa nao wa kuvumiliana.
Nlifanya kitendo kisicho cha kiungwana kwa kumgonga na mkono ambao tayari nlikuwa nmeuviringa vidole vyote pamoja na kutengeneza kitu kama nyundo.nikiwa nmeviringa namna hiyo niliusukuma kuelekea kwenye uso wake.
Nao ukaenda na kukita kwenye pua kwa kishindo na kumsababishia jamaa apoteze balance na kwenda chini huku akitoa maji maji mekundu puani.
Kiukweli ni zaidi ya miaka 35 sijawahi fanya tendo kama hilo la kuviringa vidole na kumsukumia mtu.lakini leo imenitokea baada ya kuona natukanwa kwa kiwango kikubwa sana.kuitwa mimi ni CCM.
Nmewaza mimi leo hii akili yangu inafananishwa na watu kadhaa prominent katika sisiem?why nichukiwe hivyo na kutukanwa matusi ya wazi wazi kabisa?
Nasisitiza, tusitafutiane kesi.nitukane matusi yoyote ila usiniite ccm. Naweza nikawa nakubaliana na mambo kadhaa ya kimsingi anayofanya rais kwa ukenge ufu wa kawaida kabisa kama binadamu mwingine yeyote.nobody is perfect.ila siyo ndo nitukanwe kuwa mimi ni CCM.