Tupike wali maua

Mwachiluwi

JF-Expert Member
Joined
Mar 10, 2022
Posts
33,467
Reaction score
65,789
Hellow
Sikuiz nipo bise that why sileti thread

Kwanza andaa mchele wako vizuri kisha katakata hoho na karoti hapa kwenye hoho unaweza tumia hoho za rangi ya kijani, njano, au nyekundu

Baada ya hapo chemsha maji yako vizuri kisha osha mchele wakat maji yameanza kuchemka baada ya hapo chukua sufuria yako ambayo utapikia weka mafuta yakisha chemka mafuta weka mchele anza kukaanga vizuri baada ya hapo utaweka chumvi na maji kidogo

Then utaacha kwa mda ukiona maji yamesha kauka vizuri weka sasa hoho na karoti kwa juu kama hivi

Baada ya hapo acha kama dakika kama 10 kisha ugeuze na uchanganye hoho na karoti kama hivi

Kisha funika tena ili wali wako ukauke vizuri chakula hiki unaweza kula na mboga yoyote uipendayo.

Karibuni
 
Poor Brain njoo huku ufundwe
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…