Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 33,467
- 65,789
Hellow
Sikuiz nipo bise that why sileti thread
Kwanza andaa mchele wako vizuri kisha katakata hoho na karoti hapa kwenye hoho unaweza tumia hoho za rangi ya kijani, njano, au nyekundu
Baada ya hapo chemsha maji yako vizuri kisha osha mchele wakat maji yameanza kuchemka baada ya hapo chukua sufuria yako ambayo utapikia weka mafuta yakisha chemka mafuta weka mchele anza kukaanga vizuri baada ya hapo utaweka chumvi na maji kidogo
Then utaacha kwa mda ukiona maji yamesha kauka vizuri weka sasa hoho na karoti kwa juu kama hivi
Baada ya hapo acha kama dakika kama 10 kisha ugeuze na uchanganye hoho na karoti kama hivi
Kisha funika tena ili wali wako ukauke vizuri chakula hiki unaweza kula na mboga yoyote uipendayo.
Karibuni
Sikuiz nipo bise that why sileti thread
Kwanza andaa mchele wako vizuri kisha katakata hoho na karoti hapa kwenye hoho unaweza tumia hoho za rangi ya kijani, njano, au nyekundu
Baada ya hapo chemsha maji yako vizuri kisha osha mchele wakat maji yameanza kuchemka baada ya hapo chukua sufuria yako ambayo utapikia weka mafuta yakisha chemka mafuta weka mchele anza kukaanga vizuri baada ya hapo utaweka chumvi na maji kidogo
Then utaacha kwa mda ukiona maji yamesha kauka vizuri weka sasa hoho na karoti kwa juu kama hivi
Baada ya hapo acha kama dakika kama 10 kisha ugeuze na uchanganye hoho na karoti kama hivi
Karibuni