Tupige kura za hasira

Tupige kura za hasira

Mkombozi

JF-Expert Member
Joined
Feb 19, 2008
Posts
844
Reaction score
476
Wale ambao tuko neutral, tupige kura ya hasira. Kitendo cha baadhi ya vyama vya siasa kufanyiwa hujuma za kila namna, kinatunyima fursa sisi wapiga kura kufuatilia kampeni na sera za kila chama. Sasa tutapiga kura ya hasira na huruma kwa kuwapa wanaoonewa. Mwenye nguvu apate tu za wenye nguvu wenzake
 
Hakuna haja ya kura za hasira kupigwa marufuku kwa chama fulani ni moja ya kampeni, karibu siku nne media zote zinaongelea tukio hilo Pombe kasahaulika.
 
anayepaswa kupewa kura mwaka huu ni yule asiyebebwa na dola. ccm itapewa kura zake na dola. sisi kura zetu ni ukawa... tu.
 
Hatutaki Rais apatikane kwa kura za mihemuko.Hasira zinakufanya uwe irrational decısıon.
 
Wataisoma namba haiwezekani tamasha la wasanii lipewe kipaumbele dhidi ya tukio la kitaifa tena la kuwatafuta viongozi wa nchi,huu ni upumbavu na urofa uliopitiliza!
 
Back
Top Bottom