Usipoachana utakuwa na nyumba ndogo
Huwa najiuliza mara nyingi lakini nakosa jibu zuri, naomba nipate mawazo tofauti tofauti, inaweza kutusaidia wengi wetu.
Wanandoa wengi hasa wa miaka ya sasa, wakikorofishana korofishana baada ya muda wanachoamua ni tuachane bwana kila mtu ataanza nataka niishi kwa amani, nahitaji furaha mimi maisha yenyewe mafupi haya. Ukute hiyo ndoa baba msomi ana kazi nzuri na mama vile vile ndio balaa, kila mtu anasema usinibabaishe ninaweza kumudu maisha.
Hapo kuna watoto mmezaa, lakini kila mtu utamsikia napenda kuishi kwa amani, ni vipi kuhusu watoto? Je hao hawatakiwi kuishi kwa furaha na amani wakiwa na baba na mama? Hivi hamuwezi kukaa mkazungumza na kuelewana ili mlee watoto pamoja badala yake mnafikiria kuachana?
Hivi kuachana ni suluhisho la matatizo yako? Na je ukiachana na mwenzio ndio kusema hutaki kuoa/kuolewa tena? Na je ukioa/olewa halafu huyo mwingine akawa na matatizo pia pengine kuliko uliyoyakimbia mwanzo utaachana nae pia? Au utavumilia?
Tushirikiane kupeana mawazo wandugu
Usipoachana utakuwa na nyumba ndogo
Usipoachana utakuwa na nyumba ndogo
Huwa najiuliza mara nyingi lakini nakosa jibu zuri, naomba nipate mawazo tofauti tofauti, inaweza kutusaidia wengi wetu.
Ukute hiyo ndoa baba msomi ana kazi nzuri na mama vile vile ndio balaa, kila mtu anasema usinibabaishe ninaweza kumudu maisha.
[/FONT][/SIZE]
Nyumba ndogo inahusika kushape nyumba kubwa kwa taarifa yako.[/QUOTE
jamani jamani jamani....hivi wewe Fidel180 upo over 18 kweli???,
hili jibu laweza kuwa jibu tata la kwanza kwangu kwa mwaka huu,
KIVIPI????,
Ila bado nina mashaka sana na age yako,
nahisi bado upo kwenye ile age ileeeeeeeeee.....
wakubwa wezangu nahisi mtanielewa....lol
Nyumba ndogo inahusika kushape nyumba kubwa kwa taarifa yako.
Nyumba ndogo inahusika kushape nyumba kubwa kwa taarifa yako.
nilidhani lbd ndoa za kilokole zinaweza kuwa na unafuu!!
Hivi juzi tu hata mwezi haujaisha dada mmoja mpiganaji kweli kweli na mwanamaombi aliolewa na kk mmoja mlokole mwenzie, kweli harusi ilikuwa nzuri!! wiki ile niliyofiwa akaja kunipa pole akiwa na mama mmoja mchungaji rafiki yangu, baada ya kuona muda umeenda sana, nilimuuliza nawewe unakesha?? akasema ndio, nikamuuliza shemeji vipi hata kasirika akasema tumeshaachana!! nilishika mdomo.
kumbe nasikia walitengana baada ya week 2 tu!! yule mama mchungaji aliniambia kuwa baada ya tu ya siku 2 za ndoa akaanza kusuluhisha kesi zao mpaka mwisho amechoka.
Nikasema duh!! kwakweli kuna haja ya kuendelea kuwa single mpaka kieleweke!!!