Masagala JF-Expert Member Joined Jan 28, 2017 Posts 4,133 Reaction score 8,073 Jul 6, 2026 #21 Amani ipi Hiyo ikiwa watu wanatekwa na kufungwa bila sababu za msingi.
Kapeace JF-Expert Member Joined May 26, 2017 Posts 25,912 Reaction score 70,666 Jul 6, 2026 #22 Halotel ndo wenye huu ujinga
Hismastersvoice JF-Expert Member Joined Jan 26, 2013 Posts 23,883 Reaction score 29,190 Jul 6, 2026 #23 Masagala said: Amani ipi Hiyo ikiwa watu wanatekwa na kufungwa bila sababu za msingi. Click to expand... Amani haihusiani na haki, unapodhulumiwa unatakiwa uwe mtulivu, tulia kwani haki ya mtu haipotei, hii ni kulingana na katiba ya CCM.
Masagala said: Amani ipi Hiyo ikiwa watu wanatekwa na kufungwa bila sababu za msingi. Click to expand... Amani haihusiani na haki, unapodhulumiwa unatakiwa uwe mtulivu, tulia kwani haki ya mtu haipotei, hii ni kulingana na katiba ya CCM.
Bengal JF-Expert Member Joined Aug 29, 2018 Posts 25,829 Reaction score 28,103 Jul 6, 2026 #24 nkoge said: Hatuna nchi nyingine zaidi ya Tanzania. Tuilinde amani ni mtaji wetu, Tuitunze, Tusikilizane, Tuheshimiane, Tushikamane. Click to expand... Mbona sijaona maneno tutendeane haki,tusiibiane,tulindane tusitekwe ama kutekana?
nkoge said: Hatuna nchi nyingine zaidi ya Tanzania. Tuilinde amani ni mtaji wetu, Tuitunze, Tusikilizane, Tuheshimiane, Tushikamane. Click to expand... Mbona sijaona maneno tutendeane haki,tusiibiane,tulindane tusitekwe ama kutekana?
R Risen man JF-Expert Member Joined Aug 8, 2015 Posts 19,985 Reaction score 54,027 Jul 6, 2026 #25 Jambo la kwanza kabisa tutunze amani hayo mengine yote yatafuata Kaa nje ya Tanzania ndipo utagundua Tanzania ni tamu πΉπΏβ€οΈ
Jambo la kwanza kabisa tutunze amani hayo mengine yote yatafuata Kaa nje ya Tanzania ndipo utagundua Tanzania ni tamu πΉπΏβ€οΈ
Mbaga Jr JF-Expert Member Joined May 28, 2018 Posts 51,229 Reaction score 123,755 Jul 6, 2026 #26 Wadanganyifu tulinde amani ili watawala wazidi kujilimbikizia mali za umma π₯
Mwalimu wa tuisheni JF-Expert Member Joined Oct 19, 2019 Posts 8,332 Reaction score 14,665 Jul 6, 2026 #27 ππππ
Smart911 Platinum Member Joined Jan 3, 2014 Posts 175,574 Reaction score 193,545 Jul 6, 2026 #28 Ahsante kwa taarifa... Cc: Mahondaw
Karne JF-Expert Member Joined Jun 13, 2016 Posts 10,718 Reaction score 19,548 Jul 6, 2026 #29 Watawala ndiyo hasa wana jukumu la kutunza amani,matendo yao ndiyo yanaamua kuwepo amani au isiwepo!!
Watawala ndiyo hasa wana jukumu la kutunza amani,matendo yao ndiyo yanaamua kuwepo amani au isiwepo!!
mr pipa JF-Expert Member Joined Jul 26, 2021 Posts 4,287 Reaction score 9,156 Jul 7, 2026 #30 Tudumishe amani kwa usalama wetu na kwa maendeleo ya taifa letu