Tunza amani

Amani ipi Hiyo ikiwa watu wanatekwa na kufungwa bila sababu za msingi.
 
Amani ipi Hiyo ikiwa watu wanatekwa na kufungwa bila sababu za msingi.
Amani haihusiani na haki, unapodhulumiwa unatakiwa uwe mtulivu, tulia kwani haki ya mtu haipotei, hii ni kulingana na katiba ya CCM.
 
Jambo la kwanza kabisa tutunze amani hayo mengine yote yatafuata

Kaa nje ya Tanzania ndipo utagundua Tanzania ni tamu

πŸ‡ΉπŸ‡Ώβ€οΈ
 
Wadanganyifu tulinde amani ili watawala wazidi kujilimbikizia mali za umma πŸ”₯
 
Watawala ndiyo hasa wana jukumu la kutunza amani,matendo yao ndiyo yanaamua kuwepo amani au isiwepo!!
 
Tudumishe amani kwa usalama wetu na kwa maendeleo ya taifa letu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…