Kwa kazi inayofanywa CHADEMA kwa kwa kweli mnapaswa kupongezwa. Lakini nachukua nafasi kumpongeza Tundu Lisu hakika umeonyesha uajasiri mkubwa na sio mwoga pamoja na kushambuliwa kila upande na Magamba na washirika wao kutoka bara hadi visiwani huajalegeza msimamamo wala kutetereka. Umeonyesha kuwa wananchi waliokuchagua hawakufanya makosa pia umedhiirisha kuwa wabunge wote wa CCM hawajakaribia hata kidogo uwezo wako wa kuona mambo. Kilichonifurahisha ni kuwa wewe si mnafiki kama baadhi ya wabunge wengine sisi wapenda amani na usawa tunakuombea maisha kwani pia tunajua uanahatarisha maisha yako mbele ya Magamba.
Nimekumbuka ule msemo wa JK kwenye kampeni kuliko Tundu Lisu awe mbunge heri Dr Slaa awe rais, hakika wewe ni kisiki cha mpingo
Nimekumbuka ule msemo wa JK kwenye kampeni kuliko Tundu Lisu awe mbunge heri Dr Slaa awe rais, hakika wewe ni kisiki cha mpingo