johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 85,950
- 146,114
Nauliza tu kwa sababu dalili za figisu zimeanza mapema kabisa Kwenye Uchaguzi wa Ndani wa Chadema
2025 hatupendi tusikie visingizio vya CCM kuhonga Wagombea wa Chadema kana Kwamba Wapinzani ni Chadema peke yao
Mlale Unono 😀😀
2025 hatupendi tusikie visingizio vya CCM kuhonga Wagombea wa Chadema kana Kwamba Wapinzani ni Chadema peke yao
Mlale Unono 😀😀