yule mjenga hoja mahiri na mchezaji bora wa hoja bungeni mh:sana tindu lisu leo yupo bunge live,mungu awabariki wabunge wote wa ukawa na awaongezee nguvu
Ndioo naaanii???
Amemuambia Mwenyekiti Mng'ong'o kuwa anaendesha kikao kwa kutumia kanuni za kutoka nyumbani kwake na sio za bunge.
Mwenyekiti akahamaki akamuambia afute kauli yake.....lissu akamjibu sifuti kwa sababu wewe mwenyekiti umekiuka kanuni
Ikaishia hapo na maneno hayo yamebaki kwenye Hansard
Haya jamani yule kipenzi wetu,mbunge exceptional Mh.Tundu Lisu amerudi bungeni,anatema cheche serikali imeshindwa kupeleka mafungu TEA
Kasemaje messi wa bungeni
alikuwa site kutia hamasa ya kujiandikisha BVRHivi alienda wapi vile?
ni pamoja na hayatuandikieni alichokisema huyu mbunge makini kipenzi cha wanyonge kiongozi wa kuigwa wakili msomi mtetezi wa haki za watu kiboko ya maccm mpaka mwenyekiti wao anamgwaya,mwiba mkali wa wachovu
Amemuambia Mwenyekiti Mng'ong'o kuwa anaendesha kikao kwa kutumia kanuni za kutoka nyumbani kwake na sio za bunge.
Mwenyekiti akahamaki akamuambia afute kauli yake.....lissu akamjibu sifuti kwa sababu wewe mwenyekiti umekiuka kanuni
Ikaishia hapo na maneno hayo yamebaki kwenye Hansard