Hiyo tiketi iko wapi sasa kamanda? Lete picha ya huo mkono ulioshika hiyo tiketi.
Upuuzi mtupu.umesafisha mdomo huo? naona maandishi yako yananuka uharo!
Ndio huyohuyo, mwanafalsafa yeyote hachukizwi kuwa challengedNyerere huyu ni yupi?
Ni yule tuliyeambiwa na Tundu alizoea vya kunyonga?
Anyuola dero no omera!!!Welcome home LEGEND
Kaona awahi kurudi ili kutoa ushauri wa kisheria ndege irudi maana yaweza pigwa mnadaVipi senet kashaenda Kuhutubia?
tunataka vijana waasi vijana waasi dhidi ya mfumo dhalimu hatutaki vijana hewala hewala vijana wasioweza kujenga hoja JULIUSN/ NYERERE. lissu ni ndoto ya nyerere"Rudi mwanangu nyumbani ufanye na kurekebisha yale yanayo nitia simanzi huku niliko. 1995 niliposema siwezi kuikabidhi nchi kwa mbwa watu hawakunielewa wakasema nawatukana, lakini natumaini sasa wameelewa nilimaanisha nini. Muumba alizuia usije huku ili ukamilishe kazi anayotaka uifanye na wazee waliotangulia huku wote wanakutaka ukaifanye hasa mzee Kingunge anasema Tanzania sio barabara ya kuhitaji nyapala bali ni nchi inahitaji Rais"
Akisikika Mwalimu akizungumza na washiriki wenzake wa kikundi cha matarumbeta kumsifu Mungu.View attachment 1195569
Alafu ikusaidie kitu gani haswa?
Au akihutubia ndiyo uchumi wetu utakuwa kwa 7%?
karibu nyumbani kamanda lisu hakika mungu ni mwemaAnarejea terehe 7 Septemba, mwaka huu. Jumamosi ijayo. Tayari, tiketi ya kurejea nyumbani Tanzania i mkononi mwake. Kila kunapokucha na anapotafakari kurejea nyumbani, Lissu huitoa tiketi yake kutoka katikati ya nyaraka zake na kuitazama huku akitabasamu. Anatamani kuwaona tena wale ambao hawakuweza kumuona akiwa Nairobi na Ubelgiji (namshukuru Mungu kuwa nilikwenda kote huko).
Lissu si yule yule kimwili. Amepata ulemavu wa mwili. Sasa anachechemea na kuchapia mguu. Ulemavu ameupata tarehe ya kurudi kwake mwaka juzi. Ameupata ulemavu akiwa kwenye mapambano ya kisiasa kwenye viunga vya Bunge letu la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Lissu survived to accomplish his mission. Ulemavu wa mwili alioupata ni alama ya mapambano yake na harakati zake za kuusema ukweli hata kama ni mchungu kama shubiri. Au sifongo kwenye kidonda.
Kwa kilichomtokea na alichojionea kutoka kwa watanzania na wasio watanzania; marafiki na wasio marafiki wake; wanasiasa na wasio wanasiasa; wanachama wa chama chake na wasio wanachama wa chama chake kimemuimarisha moyoni na kumjaza ujasiri mkuu. Nilipozungumza naye Naironi na Ubelgiji, alinitisha kwa ujasiri wake kuimarika kuliko mwanzo. Yuko imara kuliko mnara na kuliko chuma cha pua.
Lissu anarejea na ukweli wake; lugha yake; Uwakili wake; utu wake na watu wake. Atawahutubia; atawaambia; atawatetea; atawaombea na kuwapigania katika nafasi atakayojaaliwa kuipata. Lissu anarudi kwenye mapambano ya kisiasa na ya kisheria. Atakapotua tu nchini, hata Nguvu ya Kisheria ya Kaka yake Alute itakoma na Lissu ataichukua kesi yake ya Ubunge. Ataanza na hiyo kesi kwenye mapambano yake. Kwa ajili ya Ubunge wake.
Karibu nyumbani Tundu Antiphas Mughwai Lissu!
Mzee Tupatupa wa Lumumba (kwasasa Dodoma, Tanzania)
Nyumbani nyumbani karibukaribu nyumbani kamanda lisu hakika mungu ni mwema
Mmebadili gia, nyie ni wajinga mliopitilizaAnarejea terehe 7 Septemba, mwaka huu. Jumamosi ijayo. Tayari, tiketi ya kurejea nyumbani Tanzania i mkononi mwake. Kila kunapokucha na anapotafakari kurejea nyumbani, Lissu huitoa tiketi yake kutoka katikati ya nyaraka zake na kuitazama huku akitabasamu. Anatamani kuwaona tena wale ambao hawakuweza kumuona akiwa Nairobi na Ubelgiji (namshukuru Mungu kuwa nilikwenda kote huko).
Lissu si yule yule kimwili. Amepata ulemavu wa mwili. Sasa anachechemea na kuchapia mguu. Ulemavu ameupata tarehe ya kurudi kwake mwaka juzi. Ameupata ulemavu akiwa kwenye mapambano ya kisiasa kwenye viunga vya Bunge letu la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Lissu survived to accomplish his mission. Ulemavu wa mwili alioupata ni alama ya mapambano yake na harakati zake za kuusema ukweli hata kama ni mchungu kama shubiri. Au sifongo kwenye kidonda.
Kwa kilichomtokea na alichojionea kutoka kwa watanzania na wasio watanzania; marafiki na wasio marafiki wake; wanasiasa na wasio wanasiasa; wanachama wa chama chake na wasio wanachama wa chama chake kimemuimarisha moyoni na kumjaza ujasiri mkuu. Nilipozungumza naye Naironi na Ubelgiji, alinitisha kwa ujasiri wake kuimarika kuliko mwanzo. Yuko imara kuliko mnara na kuliko chuma cha pua.
Lissu anarejea na ukweli wake; lugha yake; Uwakili wake; utu wake na watu wake. Atawahutubia; atawaambia; atawatetea; atawaombea na kuwapigania katika nafasi atakayojaaliwa kuipata. Lissu anarudi kwenye mapambano ya kisiasa na ya kisheria. Atakapotua tu nchini, hata Nguvu ya Kisheria ya Kaka yake Alute itakoma na Lissu ataichukua kesi yake ya Ubunge. Ataanza na hiyo kesi kwenye mapambano yake. Kwa ajili ya Ubunge wake.
Karibu nyumbani Tundu Antiphas Mughwai Lissu!
Mzee Tupatupa wa Lumumba (kwasasa Dodoma, Tanzania)
Hivi tiketi hizi bado zipo? Last time i checked kulikuwa na e-ticketAnarejea terehe 7 Septemba, mwaka huu. Jumamosi ijayo. Tayari, tiketi ya kurejea nyumbani Tanzania i mkononi mwake. Kila kunapokucha na anapotafakari kurejea nyumbani, Lissu huitoa tiketi yake kutoka katikati ya nyaraka zake na kuitazama huku akitabasamu. Anatamani kuwaona tena wale ambao hawakuweza kumuona akiwa Nairobi na Ubelgiji (namshukuru Mungu kuwa nilikwenda kote huko).
Kuchota akili za makamanda ni rahisi kweli kweli.Tiketi imekuwa tikiti
Kama zako zilivyochotwa kama hivi.Kuchota akili za makamanda ni rahisi kweli kweli.
Mmekosa hoja za msingi mnabaki kusimamia "kamtukana raisi" huu ni ushambaVIP zile ziara za nje ya matibabu, Kwenda kumtukana JPM zitaendelea au kwasasa atazisitisha?
Upuuzi mtupu.Kama zako zilivyochotwa kama hivi.View attachment 1198665