Tundu Lissu: Tiketi mkononi, ulemavu mwilini, uimara moyoni. Anarejea uwanja wa mapambano kutimiza haja ya moyo wake!

"Rudi mwanangu nyumbani ufanye na kurekebisha yale yanayo nitia simanzi huku niliko. 1995 niliposema siwezi kuikabidhi nchi kwa mbwa watu hawakunielewa wakasema nawatukana, lakini natumaini sasa wameelewa nilimaanisha nini. Muumba alizuia usije huku ili ukamilishe kazi anayotaka uifanye na wazee waliotangulia huku wote wanakutaka ukaifanye hasa mzee Kingunge anasema Tanzania sio barabara ya kuhitaji nyapala bali ni nchi inahitaji Rais"
Akisikika Mwalimu akizungumza na washiriki wenzake wa kikundi cha matarumbeta kumsifu Mungu.View attachment 1195569
tunataka vijana waasi vijana waasi dhidi ya mfumo dhalimu hatutaki vijana hewala hewala vijana wasioweza kujenga hoja JULIUSN/ NYERERE. lissu ni ndoto ya nyerere
 
Anarejea terehe 7 Septemba, mwaka huu. Jumamosi ijayo. Tayari, tiketi ya kurejea nyumbani Tanzania i mkononi mwake. Kila kunapokucha na anapotafakari kurejea nyumbani, Lissu huitoa tiketi yake kutoka katikati ya nyaraka zake na kuitazama huku akitabasamu. Anatamani kuwaona tena wale ambao hawakuweza kumuona akiwa Nairobi na Ubelgiji (namshukuru Mungu kuwa nilikwenda kote huko).

Lissu si yule yule kimwili. Amepata ulemavu wa mwili. Sasa anachechemea na kuchapia mguu. Ulemavu ameupata tarehe ya kurudi kwake mwaka juzi. Ameupata ulemavu akiwa kwenye mapambano ya kisiasa kwenye viunga vya Bunge letu la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Lissu survived to accomplish his mission. Ulemavu wa mwili alioupata ni alama ya mapambano yake na harakati zake za kuusema ukweli hata kama ni mchungu kama shubiri. Au sifongo kwenye kidonda.

Kwa kilichomtokea na alichojionea kutoka kwa watanzania na wasio watanzania; marafiki na wasio marafiki wake; wanasiasa na wasio wanasiasa; wanachama wa chama chake na wasio wanachama wa chama chake kimemuimarisha moyoni na kumjaza ujasiri mkuu. Nilipozungumza naye Naironi na Ubelgiji, alinitisha kwa ujasiri wake kuimarika kuliko mwanzo. Yuko imara kuliko mnara na kuliko chuma cha pua.

Lissu anarejea na ukweli wake; lugha yake; Uwakili wake; utu wake na watu wake. Atawahutubia; atawaambia; atawatetea; atawaombea na kuwapigania katika nafasi atakayojaaliwa kuipata. Lissu anarudi kwenye mapambano ya kisiasa na ya kisheria. Atakapotua tu nchini, hata Nguvu ya Kisheria ya Kaka yake Alute itakoma na Lissu ataichukua kesi yake ya Ubunge. Ataanza na hiyo kesi kwenye mapambano yake. Kwa ajili ya Ubunge wake.

Karibu nyumbani Tundu Antiphas Mughwai Lissu!

Mzee Tupatupa wa Lumumba (kwasasa Dodoma, Tanzania)
karibu nyumbani kamanda lisu hakika mungu ni mwema
 
Karibu nyumbani mpendwa, jemedari wa Taifa na mzalendo wa kweli wa nchi yetu. Mtu uliyejawa ukweli wa nafsi moyoni na akilini mwako.

Hii ni nchi yako, nchi uliyopewa kama rulivyopewa sisi na mwingine yeyote. Hakuna aliye na haki nayo kukuzidi wewe. Karibu uitumikie nchi yako kama ulivyoitumikia hapo mwanzo. Karibu kwenye nchi yako, nchi uliyoimwagia damu kwa sababu ya kuupenda na kuutumikia ukweli wa nafsi yako.

Mungu uliye mkuu, uliyewashusha wenye enzi katika viti, ukawakweza wanyenyekevu na wakweli wa nafsi zao, uliyewaondosha watawala na majemadari wenye kutisha, uliyemwondoa Goliati kwa kutumia mtumishi wako dhaifu wa mwili Daud, ikikupendeza Bwana wetu Muumba mbingu na nchi, ukawatiishe wote wenye hila, waliotamani kumwondoa TL kabla ya mapenzi yako, hata ukawaoneshe kuwa wewe ndiye uliye mkuu, wewe pekee yako unayezijua siku zetu, Bwana ukawatende kama wastahilivyo.
 
Anarejea terehe 7 Septemba, mwaka huu. Jumamosi ijayo. Tayari, tiketi ya kurejea nyumbani Tanzania i mkononi mwake. Kila kunapokucha na anapotafakari kurejea nyumbani, Lissu huitoa tiketi yake kutoka katikati ya nyaraka zake na kuitazama huku akitabasamu. Anatamani kuwaona tena wale ambao hawakuweza kumuona akiwa Nairobi na Ubelgiji (namshukuru Mungu kuwa nilikwenda kote huko).

Lissu si yule yule kimwili. Amepata ulemavu wa mwili. Sasa anachechemea na kuchapia mguu. Ulemavu ameupata tarehe ya kurudi kwake mwaka juzi. Ameupata ulemavu akiwa kwenye mapambano ya kisiasa kwenye viunga vya Bunge letu la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Lissu survived to accomplish his mission. Ulemavu wa mwili alioupata ni alama ya mapambano yake na harakati zake za kuusema ukweli hata kama ni mchungu kama shubiri. Au sifongo kwenye kidonda.

Kwa kilichomtokea na alichojionea kutoka kwa watanzania na wasio watanzania; marafiki na wasio marafiki wake; wanasiasa na wasio wanasiasa; wanachama wa chama chake na wasio wanachama wa chama chake kimemuimarisha moyoni na kumjaza ujasiri mkuu. Nilipozungumza naye Naironi na Ubelgiji, alinitisha kwa ujasiri wake kuimarika kuliko mwanzo. Yuko imara kuliko mnara na kuliko chuma cha pua.

Lissu anarejea na ukweli wake; lugha yake; Uwakili wake; utu wake na watu wake. Atawahutubia; atawaambia; atawatetea; atawaombea na kuwapigania katika nafasi atakayojaaliwa kuipata. Lissu anarudi kwenye mapambano ya kisiasa na ya kisheria. Atakapotua tu nchini, hata Nguvu ya Kisheria ya Kaka yake Alute itakoma na Lissu ataichukua kesi yake ya Ubunge. Ataanza na hiyo kesi kwenye mapambano yake. Kwa ajili ya Ubunge wake.

Karibu nyumbani Tundu Antiphas Mughwai Lissu!

Mzee Tupatupa wa Lumumba (kwasasa Dodoma, Tanzania)
Mmebadili gia, nyie ni wajinga mliopitiliza
 
Anarejea terehe 7 Septemba, mwaka huu. Jumamosi ijayo. Tayari, tiketi ya kurejea nyumbani Tanzania i mkononi mwake. Kila kunapokucha na anapotafakari kurejea nyumbani, Lissu huitoa tiketi yake kutoka katikati ya nyaraka zake na kuitazama huku akitabasamu. Anatamani kuwaona tena wale ambao hawakuweza kumuona akiwa Nairobi na Ubelgiji (namshukuru Mungu kuwa nilikwenda kote huko).
Hivi tiketi hizi bado zipo? Last time i checked kulikuwa na e-ticket
 
huyu jamaa kuwa hai ni muujiza..MEKO akisikia jina la Lissu anapatwa na mkojo
 
Kuchota akili za makamanda ni rahisi kweli kweli.
Kama zako zilivyochotwa kama hivi.
tapatalk_1558852188968.jpeg
 
99 Reactions
Reply
Back
Top Bottom